Addis Ababas
JF-Expert Member
- Aug 5, 2018
- 351
- 353
Kauli, "Umaskini ni laana," ni nini?
Nani kamlaani maskini? Ni Mungu au ni wazazi wake?
Umaskini wa mali au wa fikra, au wa imani?
Je, ndo kusema kuwa, tajiri ni mbarikiwa?
Je, utajiri wa wizi, unyang'anyi na unaopatikana kwa kuuza bangi nao ni baraka?
Je, ikiwa una wafuasi 3mil, umewasaidiaje kuachana na laana ya umaskini?
Umaskini siyo jambo ya kusifia, ni kweli. Umaskini upigwe vita, ni kweli.
Nani kamlaani maskini? Ni Mungu au ni wazazi wake?
Umaskini wa mali au wa fikra, au wa imani?
Je, ndo kusema kuwa, tajiri ni mbarikiwa?
Je, utajiri wa wizi, unyang'anyi na unaopatikana kwa kuuza bangi nao ni baraka?
Je, ikiwa una wafuasi 3mil, umewasaidiaje kuachana na laana ya umaskini?
Umaskini siyo jambo ya kusifia, ni kweli. Umaskini upigwe vita, ni kweli.