kwa hiyo ccm kwa miaka zaidi ya hamsini wameboresha miundo mbinu sio? kwa hiyo ndo tuwape wandelee?Mjinga ni yule aliyekuwa anaamini Lowassa atamletea kula, Maendeleo yako yataletwa na ww mwenyewe hao viongozi kazi yao ni kukuboreshea miundombinu ya ww kutafuta pesa,
- The Good thing ni kuwa LOWASA Hana cha kupoteza!! he is very Rich,
- Jambo lingine, ni kuwa anaweza kurudi CCM tu, wala hakukosana na mtu, na mliona jinsi ambavyo Campeni zake zilikuwa za kistarabu kabisa, hakutukana mtu yeyote, wala hakuwasema wezi wenzake aliokuwa nao CCM.
- Yeye URAisi ulikuwa ni ku-ACCOMPLISH ambitions zake tu (RECOGNITION)
- tatizo ni kwako wewe usiyekuwa na kazi, maskini, etc, unayeamini kuwa VIONGOZI ni kukuboreshea miundo mbinu!!!--uliyedanganyika kuwa HAPA KAZI TU!!!, hakuna rangi utaacha kuona , na wakati watu wanaboresha miundombinu yao ya kuendelea kuwa ma-CAPITALISTS, wanaotumia kila mbinu kuhakikisha wanarudi madarakani, na kwa gharama zote zinazowezekana!!
Wote mnaomuunga mkono mtoa mada ni mambumbumbu hasa. Hivi upinzani huu kweli unaweza kuiletea nchi yetu maendeleo? Hivi nyie mnaijua ccm kweli? Hivi nyie mnamjua Lowassa na madhara aliyoiletea ccm? Hicho mnachokiikita MFUMO mnakielewa? Je, kweli mnadhani Mbowe na genge lake wanadhamira njema na nchi hii? Mnawafahamu walio nyuma ya wapinzani hawa na nia yao? Je, mnajua ni kwanini Lowassa tangu enzi ya Nyerere anakataliwa? Tafuteni kuzijua siasa za Tz.
Sasa nimeamini kuwa umasikini wa Watanzania walio wengi ni wa kujitakia.
Nasema hivi kwa kuangalia jinsi kampeni za uchaguzi zilivyokuwa na jinsi
matokeo yanavyoendelea kutangazwa. Niliamini kuwa sisi watanzania tumetambua
chanzo cha umasikini wetu ni CCM na viongozi wake. Na hii ndio imefanya uchaguzi
wa mwaka huu kuwa wa msisimko mkubwa na hata kuwapa kazi kubwa wazee wa CCM
waliostaafu, vijana wa CCM waliobahatika kupata mrija wa kupata chochote chini
ya CCM na hata wasanii wetu waliolipwa mamilioni ya pesa ili kuwashawishi
masikini waendelee kuichagua CCM. Niliamini tunajitambua na tunaelewa haki yetu ni
nini. Lakini kwa jinsi matokeo yanavyotangazwa, nimeamini kuwa umasikini wetu ni
wa kujitakia.
Ushauri Wangu:
(1) Kama ni kweli hizi kura ni za haki. Kwa kweli mtu yeyote akija kukuomba msaada
kwa maelezo yake kuwa maisha ni magumu. Mtu kama huyu hafai kusaidiwa kabisaaaaaa!
Maana mijini unaweza kutana na mtu anakuomba nauli au pesa ale. Mtu kama huyu
unaweza mfukuza tuu akaombe ofisi za kata.
(2) Vijana wengi wakilalamika kuwa hakuna Ajira. Kwa kweli nitabaki kuwaaangalia na
kuwa support wakiwa kwenye vigenge wanacheza bao.
(3)Wanafunzi wa vyuo wakilalamika mikopo inachelewa. Watu kama hawa unatakiwa kuwaangalia
tuu.
(4)Watu wakisema hamna madawa mahospitalini watu wanalala chini. Ni kuwaangalia na kuwaambia
mmejitakiwa wenyewe kwa kurudisha utawala ambao umeshindwa kuwa support miaka 54.
Kwa ujumla ni kwamba Umasikini wetu utakaoendelea kuwepo Tanzania ni wa kujitakia.
Na nchi itaendelea kunyonywa na kuwafanya wachache kuwa mabepari na matajiri na wengine
kuendelea kuwa masikini. Inasikitishaa sanaa.
Maoni yangu::::
Speak to them man!
- The Good thing ni kuwa LOWASA Hana cha kupoteza!! he is very Rich,
- Jambo lingine, ni kuwa anaweza kurudi CCM tu, wala hakukosana na mtu, na mliona jinsi ambavyo Campeni zake zilikuwa za kistarabu kabisa, hakutukana mtu yeyote, wala hakuwasema wezi wenzake aliokuwa nao CCM.
- Yeye URAisi ulikuwa ni ku-ACCOMPLISH ambitions zake tu (RECOGNITION)
- tatizo ni kwako wewe usiyekuwa na kazi, maskini, etc, unayeamini kuwa VIONGOZI ni kukuboreshea miundo mbinu!!!--uliyedanganyika kuwa HAPA KAZI TU!!!, hakuna rangi utaacha kuona , na wakati watu wanaboresha miundombinu yao ya kuendelea kuwa ma-CAPITALISTS, wanaotumia kila mbinu kuhakikisha wanarudi madarakani, na kwa gharama zote zinazowezekana!!
Sasa nimeamini kuwa umasikini wa Watanzania walio wengi ni wa kujitakia.
Nasema hivi kwa kuangalia jinsi kampeni za uchaguzi zilivyokuwa na jinsi
matokeo yanavyoendelea kutangazwa. Niliamini kuwa sisi watanzania tumetambua
chanzo cha umasikini wetu ni CCM na viongozi wake. Na hii ndio imefanya uchaguzi
wa mwaka huu kuwa wa msisimko mkubwa na hata kuwapa kazi kubwa wazee wa CCM
waliostaafu, vijana wa CCM waliobahatika kupata mrija wa kupata chochote chini
ya CCM na hata wasanii wetu waliolipwa mamilioni ya pesa ili kuwashawishi
masikini waendelee kuichagua CCM. Niliamini tunajitambua na tunaelewa haki yetu ni
nini. Lakini kwa jinsi matokeo yanavyotangazwa, nimeamini kuwa umasikini wetu ni
wa kujitakia.
Ushauri Wangu:
(1) Kama ni kweli hizi kura ni za haki. Kwa kweli mtu yeyote akija kukuomba msaada
kwa maelezo yake kuwa maisha ni magumu. Mtu kama huyu hafai kusaidiwa kabisaaaaaa!
Maana mijini unaweza kutana na mtu anakuomba nauli au pesa ale. Mtu kama huyu
unaweza mfukuza tuu akaombe ofisi za kata.
(2) Vijana wengi wakilalamika kuwa hakuna Ajira. Kwa kweli nitabaki kuwaaangalia na
kuwa support wakiwa kwenye vigenge wanacheza bao.
(3)Wanafunzi wa vyuo wakilalamika mikopo inachelewa. Watu kama hawa unatakiwa kuwaangalia
tuu.
(4)Watu wakisema hamna madawa mahospitalini watu wanalala chini. Ni kuwaangalia na kuwaambia
mmejitakiwa wenyewe kwa kurudisha utawala ambao umeshindwa kuwa support miaka 54.
Kwa ujumla ni kwamba Umasikini wetu utakaoendelea kuwepo Tanzania ni wa kujitakia.
Na nchi itaendelea kunyonywa na kuwafanya wachache kuwa mabepari na matajiri na wengine
kuendelea kuwa masikini. Inasikitishaa sanaa.
Maoni yangu::::
Kuna mgombea urais huko marekani anaitwa Donald Trump kuna maneno kaongea kuhusu sisi waafrika,naamini sisi sio wazima kiakili
Unaelewa maana ya Demokrasia?. Unacholazimisha wewe ni Udikteta, eti kwavile unawasaidia watu basi wachague chama ukipendacho. Hiyo ni RUSHWA. Msaada wako usiwe sababu ya kuwashurutisha watu.
Sasa nimeamini kuwa umasikini wa Watanzania walio wengi ni wa kujitakia.
Nasema hivi kwa kuangalia jinsi kampeni za uchaguzi zilivyokuwa na jinsi
matokeo yanavyoendelea kutangazwa. Niliamini kuwa sisi watanzania tumetambua
chanzo cha umasikini wetu ni CCM na viongozi wake. Na hii ndio imefanya uchaguzi
wa mwaka huu kuwa wa msisimko mkubwa na hata kuwapa kazi kubwa wazee wa CCM
waliostaafu, vijana wa CCM waliobahatika kupata mrija wa kupata chochote chini
ya CCM na hata wasanii wetu waliolipwa mamilioni ya pesa ili kuwashawishi
masikini waendelee kuichagua CCM. Niliamini tunajitambua na tunaelewa haki yetu ni
nini. Lakini kwa jinsi matokeo yanavyotangazwa, nimeamini kuwa umasikini wetu ni
wa kujitakia.
Ushauri Wangu:
(1) Kama ni kweli hizi kura ni za haki. Kwa kweli mtu yeyote akija kukuomba msaada
kwa maelezo yake kuwa maisha ni magumu. Mtu kama huyu hafai kusaidiwa kabisaaaaaa!
Maana mijini unaweza kutana na mtu anakuomba nauli au pesa ale. Mtu kama huyu
unaweza mfukuza tuu akaombe ofisi za kata.
(2) Vijana wengi wakilalamika kuwa hakuna Ajira. Kwa kweli nitabaki kuwaaangalia na
kuwa support wakiwa kwenye vigenge wanacheza bao.
(3)Wanafunzi wa vyuo wakilalamika mikopo inachelewa. Watu kama hawa unatakiwa kuwaangalia
tuu.
(4)Watu wakisema hamna madawa mahospitalini watu wanalala chini. Ni kuwaangalia na kuwaambia
mmejitakiwa wenyewe kwa kurudisha utawala ambao umeshindwa kuwa support miaka 54.
Kwa ujumla ni kwamba Umasikini wetu utakaoendelea kuwepo Tanzania ni wa kujitakia.
Na nchi itaendelea kunyonywa na kuwafanya wachache kuwa mabepari na matajiri na wengine
kuendelea kuwa masikini. Inasikitishaa sanaa.
Maoni yangu::::
Swala sio kuwachagulia wanatakiwa kujitambua iweje wewe ufanye uamuzi wa kujiumiza halafu upewe msaada wakati umepewa nafasi ya kufanya uamuzi wa kukuletea maendeleo amakweli hii ndio Tanzania wanayoishangaa wengine
Unaelewa maana ya Demokrasia?. Unacholazimisha wewe ni Udikteta, eti kwavile unawasaidia watu basi wachague chama ukipendacho. Hiyo ni RUSHWA. Msaada wako usiwe sababu ya kuwashurutisha watu.
Unaelewa maana ya Demokrasia?. Unacholazimisha wewe ni Udikteta, eti kwavile unawasaidia watu basi wachague chama ukipendacho. Hiyo ni RUSHWA. Msaada wako usiwe sababu ya kuwashurutisha watu.
Mjinga ni yule aliyekuwa anaamini Lowassa atamletea kula, Maendeleo yako yataletwa na ww mwenyewe hao viongozi kazi yao ni kukuboreshea miundombinu ya ww kutafuta pesa,