Zing
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 1,767
- 470
Wanajamvi na greath thinkers wote
Nawasilisha. kwa mjadala
- Kipimo cha umasikini wa mtanzania ni nini?
- Kipimo cha utajiri wa mtanzania nini ?
- Je kuna Uhusiano wa maendeleo ya kuchumi na utajiri au umaskini wa watanzania?
- Je ni kweli Tanzani na nchi inayoendelea au tumepewa neno tamu la kututia moya tusishtuke kwua tunanyonywa na mabepari?
Nawasilisha. kwa mjadala