Umasikini mbaya jama...mweh!

Umasikini mbaya jama...mweh!

Kuchukua hawa mayatima ,duniani tumejaa ubinafsi kuna watoto wanapata tabu badala tumalize umaskini kwa waliopo ,tunazaa wapya ili kuendelea umaskini ule ule.
Tatizo kila mtu anataka wakwake hakuna anayetaka kulea watoto wa mwingine,
 
Wengi hapa wazazi wenu wangekuwa na huo msimamo,wasizae kwasababu hawana hela, msingekuwepo duniani.
 
Hili jambo limekuja wakati muafaka kama huna uwezo wa kutunza na kulea usizae.
 
Na kama hujaweza kuuepuka fanya kila unaloweza usilete duniani watu wengine wa kuja kuteseka
kabisa yaaani mtu unaleta watoto 6 wanajifariji na ule msemo wa tajiri na mali zake maskini na wanae😀😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom