Waziri wa habari vijana,utamaduni na michezo mganga(Dkt) Fenella Mukangara!huyu mama na hizi nywele amependeza kweli natamani wanawake wote waachane na kuweka nywele bandia au madawa kwenye nywele zao ili kuonekana wanavutia kumbe wanaharibu kabisa!
Tatizo ni jinsi ya ku-maintain hizo nywele jamani! Tukiwa praimare tulikuwa tunasuka jumapili na jumatano. Sasa na u-busy huu wa maisha, mweeh! Na wengine hatujajaaliwa nywele sasa tukimbilie wapi zaidi ya kwa mchina?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.