Umaarufu wa petit man wakuache

Umaarufu wa petit man wakuache

mbwa mzee

Senior Member
Joined
Jan 13, 2015
Posts
126
Reaction score
9
jaman wadau naombeni kuuliza huyu petitman wakuache ni maarufu sana naomba kuuliza yy hasa umaarufu wake ni wa nn kwa anayejua
 
kwel mana naona jamaa anajikomba sana kwa dada zetu
 
Huyu jamaa si kwenye ile list ya Mh Makonda yupo team wauza semba
 
Hivi mbona jina lake limekaa kishoga shoga sana?
 
jaman wadau naombeni kuuliza huyu petitman wakuache ni maarufu sana naomba kuuliza yy hasa umaarufu wake ni wa nn kwa anayejua
Umaarufu eidha hutoka kwa Mungu au kwa shetani. Umaarufu huambatana na nyota. Nyota yako ya umaarufu ukiipata kwa njia za giza, basi umaarufu wako utatoka kwa shetani.

Hapa JamiiForums, UMUGHAKA ndiyo mtu maarufu zaidi kwa sasa, licha ya kwamba kuna member mashuhuri pia kama Mshana Jr, Pascal Mayalla, GENTAMYCINE ,Bill Lugano, To yeye nk
 
Back
Top Bottom