myao wa tunduru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2010
- 615
- 234
Mwenye picha ya kanyumba tafadhali aiweke hapa nami nimjue huyu jamaa!inaelekea alikuwa maarufu sana dar es salaam!!!
me nauliza kabla ya kanumba huyo lulu alikua na wangapi?na hata alipokua nae alikua peke yake?binafsi nasema kama lulu angekataa kanumba angemlazimisha?mara ngapi hako kabinti kametolewa kwenye vyombo vya habari na mambo ya ajabu anabu?mi cdhani kama marehem anastahili kulaumiwa et mzinzi ama amekaharibu hako katoto.nadhani wa kulaumiwa ni wazazi wa lulu kwa kutokumlea mtoto wao ktk maadili yanayofaa.mtoto aliyelelewa ktk misingi inayofaa hawez kupatwa na kashfa chafu kama alizokua nazo huyo binti.me naona mkuu ucmuhukumu marehemu kua ni mzinzi cjui nini ilhali ameshakwenda kwa hakimu wa haki,2mwachie Mungu amuhukumu.
Mwenye picha ya kanyumba tafadhali aiweke hapa nami nimjue huyu jamaa!inaelekea alikuwa maarufu sana dar es salaam!!!
We Peter kama uliyajua haya yote mapema wewe pamoja na hao watetezi wa haki za watoto mlikuwa wapi,acha kutuzt ga na ***** huu bana,umeacha hadi huyo lulu kabakwa weee hadi kanogewa,ulikaa kimya afu leo mambo yamefka hapo ndo ndo unakuja na stori kama hizi"this is purely NAIVE CONSCIOUSNESS", unaanza kutoa wito leo wakati inaonyesha uliyajua haya tangu siku nyingi,Kanumba amekufa,lulu yuko katika mikono salama acha sheria ichukue mkondo wake, and for WE, BACK TO TOPIC, MAWAZIRI WALE BADO TUHAWAJAJIUDHULU?Watetezi wote wa haki za watoto na wapenda haki wote Tanzania, huu ni wakati wa kuonyesha kwa vitendo uchungu wetu juu ya udhalimu huu kwa watoto wetu wote bila kujali watetezi wa uchafu wanasema nini
Tuanze na mawaziri waliofuja mali za umma afu ndo tuhamie kuchunguza mahusiano ya watu,Baada ya tukio hili, jamii ya watanzania tunatakiwa kuamka usingizini na kuanza kuwa macho na watu wanao pewa umarufu usio stahili. Tunatakiwa kuanza kuwatetea watoto wote wanao ingizwa katika sanaa na kudaki haki yao ya kulindwa dhidi ya mafisadi/wabakaji kama marehemu S.K. , ni wakati ssa wa kufanya uchunguzi wa wale wote walio baki na kujua mahusiano yao na watoto kaa Lulu yakoje?
suala la lulu kukubali au kukataa halialalishi alichokifanya SK na hii ni kwa kuzingatia umri wa lulu na sheria za nchi.sawa kametolewa kwenye vyombo vya habari kwa ishu nyingine.labda nikumbushe ni chombo kipi cha habari kilituonyesha picha za lulu akifanya ngono. watu wanaweza kuongea chochote lakini wakashindwa kudhibitisha. kila binadamu ana hobbies zake. je pengine lulu anapenda sana kuwa kwenye movies ndio maana SK aka-take advantage hiyo kumfanza vibaya.Hivi unafahamu kuwa mwanamke anaweza akakukubalia huku moyoni mwake hajaridhika 100%. Hivi unajua ni wanawake wangapi wananyanyasika kwa mabosi zao makazini kwa ajili ya chupi zao, na wanakubali ili kulinda ajira zao ambazo wakizipoteza kupata nyingine ni ndoto na wana watoto wanaowategemea? Je unajua ni mabosi wangapi wamewafukuza kazi wanawake wenye umri mkubwa ili waajiri wasichana vijana ili wawafanyie ufuska wao? Hili suala la unyanyasaji wa kijinsia linatakiwa kukemewa sio kwa SK tu, bali kwa taifa zima la Tanzania. TWO WRONGS DONT MAKE A RIGHT.me nauliza kabla ya kanumba huyo lulu alikua na wangapi?na hata alipokua nae alikua peke yake?binafsi nasema kama lulu angekataa kanumba angemlazimisha?mara ngapi hako kabinti kametolewa kwenye vyombo vya habari na mambo ya ajabu anabu?mi cdhani kama marehem anastahili kulaumiwa et mzinzi ama amekaharibu hako katoto.nadhani wa kulaumiwa ni wazazi wa lulu kwa kutokumlea mtoto wao ktk maadili yanayofaa.mtoto aliyelelewa ktk misingi inayofaa hawez kupatwa na kashfa chafu kama alizokua nazo huyo binti.me naona mkuu ucmuhukumu marehemu kua ni mzinzi cjui nini ilhali ameshakwenda kwa hakimu wa haki,2mwachie Mungu amuhukumu.
suala la lulu kukubali au kukataa halialalishi alichokifanya SK na hii ni kwa kuzingatia umri wa lulu na sheria za nchi.sawa kametolewa kwenye vyombo vya habari kwa ishu nyingine.labda nikumbushe ni chombo kipi cha habari kilituonyesha picha za lulu akifanya ngono. watu wanaweza kuongea chochote lakini wakashindwa kudhibitisha. kila binadamu ana hobbies zake. je pengine lulu anapenda sana kuwa kwenye movies ndio maana SK aka-take advantage hiyo kumfanza vibaya.Hivi unafahamu kuwa mwanamke anaweza akakukubalia huku moyoni mwake hajaridhika 100%. Hivi unajua ni wanawake wangapi wananyanyasika kwa mabosi zao makazini kwa ajili ya chupi zao, na wanakubali ili kulinda ajira zao ambazo wakizipoteza kupata nyingine ni ndoto na wana watoto wanaowategemea? Je unajua ni mabosi wangapi wamewafukuza kazi wanawake wenye umri mkubwa ili waajiri wasichana vijana ili wawafanyie ufuska wao? Hili suala la unyanyasaji wa kijinsia linatakiwa kukemewa sio kwa SK tu, bali kwa taifa zima la Tanzania. TWO WRONGS DONT MAKE A RIGHT.
aliyeleta hii thread cjui ndo katoka abroad au kijijini kwao hivi huyo lulu unayemuongelea unamjua vizuri? Km hujui bora ukae kimya au umeona donge JK kukatisha ziara kwa ajili ya jembe?, R.I.P THE GREAT