funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 38,534
- 31,198
Kutoka enzi na enzi Mamlaka zipo na zina nguvu isiyo kifani.
Huwezi na kamwe haitatokea wala kukubalika eti upambane na mamlaka halafu uwe mshindi.
Hilo haliwezekani kamwe.
Bwana wetu Yesu Kristo alikua maarufu sana kwa nia njema mno na baadae pamoja na kusema kuwa hakuja kutengua torati au alipoasa kuwa ya Kaiza mpe Kaiza na ya Mungu mpe Mungu ...bado alisingiziwa na kutafutiwa kosa na akasulubiwa kwa kelele za wayahudi.
Pamoja na yote yalimkuta bado dola na wamadola wale wameendelea kuishi pengine kwa hulka zile zile.
sisi wafuasi wake bado tunaamini haikuwa haki na tunaamini atarejea tena.
Pamoja na imani yetu kwa sasa tumeendelea kuheshimu mamlaka zilizopo huku tukiwa na maadhimisho ya kila mwaka kukataa kile walichomtenda.tunaamini ipo siku ya hukumu na alichondewa kitalipwa .
Japo pia tunaendelea kuishi kwa maombi tukiwasihi vitukuu wa mamlaka zilizokuwepo toka enzi hizo kuendelea kutanda haki.
Kwa ufupi niseme kuwa hata mamlaka ziizokuwepo,zilizopo na zitakazokuja kamwe hazitaruhusu kutovugwa au kudhihakiwa kwani nazo zinaamini yupo aliyewapa mamlaka hayo na kamwe hatowaacha waharibikiwe.
hizi ni nguvu kubwa shindani na kuna ugumu kuzipatanisha.
Ili kuimarisha amani na ustawi basi ni vyema nguvu hizi zikaendelea kustahiana na kuvumiliana.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Huwezi na kamwe haitatokea wala kukubalika eti upambane na mamlaka halafu uwe mshindi.
Hilo haliwezekani kamwe.
Bwana wetu Yesu Kristo alikua maarufu sana kwa nia njema mno na baadae pamoja na kusema kuwa hakuja kutengua torati au alipoasa kuwa ya Kaiza mpe Kaiza na ya Mungu mpe Mungu ...bado alisingiziwa na kutafutiwa kosa na akasulubiwa kwa kelele za wayahudi.
Pamoja na yote yalimkuta bado dola na wamadola wale wameendelea kuishi pengine kwa hulka zile zile.
sisi wafuasi wake bado tunaamini haikuwa haki na tunaamini atarejea tena.
Pamoja na imani yetu kwa sasa tumeendelea kuheshimu mamlaka zilizopo huku tukiwa na maadhimisho ya kila mwaka kukataa kile walichomtenda.tunaamini ipo siku ya hukumu na alichondewa kitalipwa .
Japo pia tunaendelea kuishi kwa maombi tukiwasihi vitukuu wa mamlaka zilizokuwepo toka enzi hizo kuendelea kutanda haki.
Kwa ufupi niseme kuwa hata mamlaka ziizokuwepo,zilizopo na zitakazokuja kamwe hazitaruhusu kutovugwa au kudhihakiwa kwani nazo zinaamini yupo aliyewapa mamlaka hayo na kamwe hatowaacha waharibikiwe.
hizi ni nguvu kubwa shindani na kuna ugumu kuzipatanisha.
Ili kuimarisha amani na ustawi basi ni vyema nguvu hizi zikaendelea kustahiana na kuvumiliana.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!