FP:
a. Mahakama za kidini Tanzania tayari zipo
b. Zinafanya kazi
c. Zinaendeshwa na waumini wenyewe
d. Maamuzi yake yanatambuliwa na nchi
e. Hazikuanzishwa na serikali, kufadhiliwa au kwa namna yoyote ile kujadiliwa bungeni. Zimeanzishwa by the very fact kwamba ni sehemu ya dini hizo.
Wengi tunafuatilia mijadala ndani ya Bunge, hivi karibuni tulimsikia Mh slaa akisema ataikwamisha bajeti ikiwa mashirika ya dini hayatafutiwa msmaha, lkn tunajua waliokuwa wanapiga kelele ni Dini Fulani. Kuhusu MAHAKAMA ya kadhi Mzee huyu na Kijana Huyu Kimya , Kuhusu Mkataba kati ya kanisa na Serekali kimya haibani serekeli na kutafuta nyaraka ili aibane govt, Kuhusu tamko la maaskofu kimya ? Kuhusu Vertican Kimya hata kutaka hayo majibu ya Ovyo ovyo hamyataki
Mkijiji, asante hapo ndo panapo shangaza kwanini wasichukue desa hapo? badala yake wanataka ivuruga nchi kwa kudai upendeleo uwe ni haki kwao?
Yote haya ni kwasababu tu jamaa wanachukulia advantage ya rais kuwa mwislamu mwenzao. Mwinyi naye walimpelekesha hivihivi na kilichosaidia wakati ule ni Nyerere kuwepo vinginevyo hali ingekuwa mbaya kuliko hata sasa maana mzee wa ruhusa ilikuwa ruhusa tu. Nakumbuka siku moja alikuwa anahutubia mahali akasema "Wazee wangu wa kiislamu naomba mnisaidie" na hapo alikuwa anaongelea suala la kitaifa si katika shughuli za kiislamu. Yaani alifika mahali pa kuona kama TZ ni islamic republic.
[/B]
Wewe hapa JF sio kwenye vijiwe vya dengerua,...ilikua hotuba gani ya mzee Mwinyi na aliitoa wapi na kusema hivyo kwenye jambo la kitaifa? chuki zenu kwa uislamu kunawafanya mpaka muanze kupika uongo kufurahisha nafsi zenu zenye choyo.
Yote haya ni kwasababu tu jamaa wanachukulia advantage ya rais kuwa mwislamu mwenzao. Mwinyi naye walimpelekesha hivihivi na kilichosaidia wakati ule ni Nyerere kuwepo vinginevyo hali ingekuwa mbaya kuliko hata sasa maana mzee wa ruhusa ilikuwa ruhusa tu. Nakumbuka siku moja alikuwa anahutubia mahali akasema "Wazee wangu wa kiislamu naomba mnisaidie" na hapo alikuwa anaongelea suala la kitaifa si katika shughuli za kiislamu. Yaani alifika mahali pa kuona kama TZ ni islamic republic.
unachofanya ndicho unamtuhumu mwingine. Kama jamaa kasema maneno ambayo hayana msingi katika ukweli muoneshe yeye.. don't project ur own biases toward other people kwa kujumlisha jumlisha. Kama yeye kapika uongo mwambie kapika uongo ukishaweka "chuki zenu" unawajumuisha kina nani? Chuki huwa hazishewi.
ifanywe research wanawake wa kiisalamu na wale na wanawake walioolewa na waislamu kama wanaunga mkono mahakama hii. Ni hisia zangu kuwa wabejing wa kiislamu hii issue hawaikubali
Tulipogombania uhuru wenzako walisema wakati bado waache wakoloni waendelee kutawala, lakini nikikundi kdogo cha watuhaohao waliamua kupigania uhuru, sasahivi nanyi manaona matunda yake.
Movement inaanzisha na wachache wenye upeo
Mkuu,
It depends on how you look at it; frankly, binafsi bado sijaona "matunda ya uhuru" ..... mishahara ya wakati ule ilitosha kukidhi mahitaji kwa mwezi mzima; actually watu waliweza kusave some money .... leo hii, mshahara hautoshelezi mahitaji ya siku tano!!
We're going down!!!
FP:
Kanisa Katoliki lina Mahakama za Kanisa Katoliki ambazo zinasimamia na kila Jimbo. Mahakama hizo zinahusu mambo ya ndoa na ibada vile vile. Mahakama hizo zinaongozwa na Canon Law (Sheria ya Kanisa). Sheria ya Kanisa siyo sawa na Sheria ya Nchi (Civil Law).
Mahakama za Kanisa zina mawakili, na majaji na waendesha mashtaka. As a matter of fact neno tunalolitumia la diabolis advocatum (Wakili wa Shetani) msingi wake ni kwenye mahakama za Kanisa ambapo mtu anayetarajiwa kutangazwa mtakatifu anakuwa na wakili wa kumtetea na wakili ambaye atayaonesha mabaya yake (hence Wakili wa Shetani).
Mahakama hizo za Kanisa maamuzi yake yanatambulika kisheria za nchi kwani ni sehemu ya Kanisa Katoliki. Hivyo, Kanisa Katoliki likiamua kufuta ndoa (annulment) basi hiyo ndoa inafutwa hata kwenye sheria za nchi ( baada ya kufuata taratibu). Kanisa Katoliki likimfungia Askofu (kama ilivyofanya Same) askofu huyo ana haki ya kukata rufaa hadi kwa Papa (ambaye ndiye Jaji Mkuu na wa Pekee wa Rufaa). Maamuzi hayo hayawezi kuingiliwa na Mahakama za ndani.
Mahakama hizi Katoliki huendeshwa kwa sadaka za Wakatoliki wenyewe na michango kutoka kwa nchi nyingine.
Hata leo ukienda Jimbo la Dar kwa mfano na ukiuliza muundo wa Mahakama ya Kanisa jimbo la Dar utaambiwa na kesi mbalimbali ambazo zimewahi kufikishwa kwenye mahakama hizo na kutolewa maamuzi.
Kwa hiyo:
a. Mahakama za kidini Tanzania tayari zipo
b. Zinafanya kazi
c. Zinaendeshwa na waumini wenyewe
d. Maamuzi yake yanatambuliwa na nchi
e. Hazikuanzishwa na serikali, kufadhiliwa au kwa namna yoyote ile kujadiliwa bungeni. Zimeanzishwa by the very fact kwamba ni sehemu ya dini hizo.
Wewe mzeewahoja acha uzushi. Ina maana katika misamaha ya kodi kwa mashirika ya dini waislamu haiwahusu? Halafu Vertican ndo nini?
CCM ni kupigwa buti tu ,wakiikubali wasiikubali ,wengi wechachoka nayo ,zinatafutwa sababu za kuzidi kuibana ili itoe wakimbizi wa kisiasa kutoka CCM kwenda upinzani ,njia ni hii hii wanayokwenda nayo waislamu ,mambo ni kugandamiza tu .
Tulipogombania uhuru wenzako walisema wakati bado waache wakoloni waendelee kutawala, lakini nikikundi kdogo cha watuhaohao waliamua kupigania uhuru, sasahivi nanyi manaona matunda yake.
Movement inaanzisha na wachache wenye upeo
Hivi Waislamu hawawezi kuanzisha Mahakama ya Kadhi mpaka serikali iseme ni lini? Mbona wakitaka kumchagua sheikh au kujenga msikiti hawasubiri tamko la serikali?
FP:
Kanisa Katoliki lina Mahakama za Kanisa Katoliki ambazo zinasimamia na kila Jimbo. Mahakama hizo zinahusu mambo ya ndoa na ibada vile vile. Mahakama hizo zinaongozwa na Canon Law (Sheria ya Kanisa). Sheria ya Kanisa siyo sawa na Sheria ya Nchi (Civil Law).
Mahakama za Kanisa zina mawakili, na majaji na waendesha mashtaka. As a matter of fact neno tunalolitumia la diabolis advocatum (Wakili wa Shetani) msingi wake ni kwenye mahakama za Kanisa ambapo mtu anayetarajiwa kutangazwa mtakatifu anakuwa na wakili wa kumtetea na wakili ambaye atayaonesha mabaya yake (hence Wakili wa Shetani).
Mahakama hizo za Kanisa maamuzi yake yanatambulika kisheria za nchi kwani ni sehemu ya Kanisa Katoliki. Hivyo, Kanisa Katoliki likiamua kufuta ndoa (annulment) basi hiyo ndoa inafutwa hata kwenye sheria za nchi ( baada ya kufuata taratibu). Kanisa Katoliki likimfungia Askofu (kama ilivyofanya Same) askofu huyo ana haki ya kukata rufaa hadi kwa Papa (ambaye ndiye Jaji Mkuu na wa Pekee wa Rufaa). Maamuzi hayo hayawezi kuingiliwa na Mahakama za ndani.
Mahakama hizi Katoliki huendeshwa kwa sadaka za Wakatoliki wenyewe na michango kutoka kwa nchi nyingine.
Hata leo ukienda Jimbo la Dar kwa mfano na ukiuliza muundo wa Mahakama ya Kanisa jimbo la Dar utaambiwa na kesi mbalimbali ambazo zimewahi kufikishwa kwenye mahakama hizo na kutolewa maamuzi.
Kwa hiyo:
a. Mahakama za kidini Tanzania tayari zipo
b. Zinafanya kazi
c. Zinaendeshwa na waumini wenyewe
d. Maamuzi yake yanatambuliwa na nchi
e. Hazikuanzishwa na serikali, kufadhiliwa au kwa namna yoyote ile kujadiliwa bungeni. Zimeanzishwa by the very fact kwamba ni sehemu ya dini hizo.
You may be right that we are going down, atleast tuko free, imebakitupambane na mafisadi wazawa, wale wazungu walikua hawaambiliki wao no mastre ilikua ni udhalili