Ulokole umekuwa ajira rasmi?! Serikali mpo wapi?

Ulokole umekuwa ajira rasmi?! Serikali mpo wapi?

Wacha kutaka kuwaingiza serikali mkenge. Nimekuelewa uliposema kuwa Mungu atafanya kitu hapo ndio umeongea. Jambo hili aachiwe Mungu pekee. Maana wakati mwingine unapog'oa magugu unaweza kuhani na ngano pia hivyo viache vikue pamoja mpaka siku ya mavuno.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lkn kabla Mungu hajafanya kutoa adhabu kwa hawa matapeli, je na sisi tumewajibika kwa kias gani, mbona nabii Tito alidhibitiwa,

Hivi nabii Tito anatofaut gan na gwajima, au mwingira?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa serikali ifanyeje Sheikh, na Serikali ni nani kwani? hao hao unaowaita Serikali ni Waumini wa hayo mauza uza.

Na wasipoingia humo basi jua wapo kwenye ushirikina na ulozi.

Tatizo ni ujinga umekithiri, na hata wale Walioelimika ni Wahanga.

Wachache wanatumia fursa ndio hao wanaojiita Manabii n.k.
 
Kwa hali hii Afrika itakuwa masikni mpaka mwisho wa dunia.
 
Ukiwa mbunifu unatoboa maisha we kalia serikali hiko wapi Yesu ukimtumia vizuri unatoboa ana kutajirisha..
Hahahahah sema nini nimekuelewa sana askari wangu. Kuna pesa nyingi sana kwa kutumia mgongo wa yesu na mafuta ya baraka. Cha msingi kuwepo miujiza ya kidizaini ilioediitiwa kimahiri na adobe photoshop
 
Watu wanatapeliwa kipumbavu, serikali inahangaika na kina tundu lissu, na ujinga wa kina dudubaya,

Mtu anachukua unga wa COLA anachanganya na maji na kujaza kwenye chupa za maji safi, na kuweka lebo kuwa ni damu ya Yesu ,anauza kwa chupa MOJA hadi kiasi cha Laki 1,

Biashara za kikabaila zinafanyika ,Serikal mpo wapi, ? Haya madhehebu yanayojiita ya kilokole, yanayoibuka kama UYOGA kila siku ,kwanini msiyafutilie mbali,kwanini msiweke REGULATION zitakazowabana hawa matapeli wanaoharibu UKRISTO na kuonekana ni UTAPELI

WATU wanauziwa chumvi, lesso, sabuni, maji , wanaambiwa yana upako ,wanauziwa hadi laki1,

Na hawa matapeli wanaoibuka na kujiita MANABII,MITUME ,WAFALME ,WACHUNGAJI .

Serikali mpo wapi? Msijifiche kwenye kichaka kuwa Serikal haiingilii dini, mbona yule tapeli NABII TITO mlimdhibiti,iweje hawa kina gwajima, mwingira ,mwamposa, malisa, n.k wanatamba tu na kuwaibia watu.

MKISHINDWA KUDHIBITI ,BAS BWANA MUNGU ATAFANYA KAZI YAKE ,

Wachungaji waongo wa Israeli

1Neno la BWANA likanijia, kusema, 2Mwanadamu, toa unabii juu ya wachungaji wa Israeli, toa unabii, uwaambie, naam, hao wachungaji, Bwana MUNGU asema hivi; Ole wao wachungaji wa Israeli, wanaojilisha wenyewe; je! Haiwapasi wachungaji kuwalisha kondoo? 3 Mnawala walionona, mnajivika manyoya, mnawachinja walionona; lakini hamwalishi kondoo. 4Wagonjwa hamkuwatia nguvu, wala hamkuwaponya wenye maradhi, wala hamkuwafunga waliovunjika, wala hamkuwarudisha waliofukuzwa, wala hamkuwatafuta waliopotea; bali kwa nguvu na kwa ukali mmewatawala. 5 Nao wakatawanyika, kwa sababu hapakuwa na mchungaji; wakawa chakula cha wanyamamwitu, wakatawanyika. 6Kondoo wangu walitangatanga katika milima yote, na juu ya kila kilima kirefu; naam, kondoo wangu walitawanyika juu ya uso wote wa dunia; wala hapakuwa na mtu aliyewaulizia, wala kuwatafuta. 7Basi, enyi wachungaji, lisikieni neno la BWANA; 8Kama mimi niishivyo, asema Bwana MUNGU, kwa sababu kondoo wangu walikuwa mateka, kondoo wangu wakawa chakula cha wanyamamwitu wote, kwa sababu hapakuwa na mchungaji, wala wachungaji wangu hawakutafuta kondoo wangu, bali wachungaji walijilisha wenyewe wala hawakuwalisha kondoo wangu; 9kwa sababu hiyo, enyi wachungaji, lisikieni neno la BWANA; 10 Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, mimi ni juu ya wachungaji; nami nitawataka kondoo wangu mikononi mwao, nami nitawaachisha hiyo kazi ya kuwalisha kondoo; nao wachungaji hawatajilisha wenyewe tena; nami nitawaokoa kondoo wangu vinywani mwao, wasiwe tena chakula chao. 11Maana, Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, mimi mwenyewe, naam, mimi, nitawatafuta kondoo wangu, na kuwatunza.

View attachment 1041084View attachment 1041085View attachment 1041086

Sent using Jamii Forums mobile app
Wajinga ndio waliwao. Uliza/ muulize anafanya kwa andiko lipi katika Biblia. Asikuhadithie maneno/tafsiri toka kinywani mwake. Tatizo mnataka short cut ya matatizo yenu. Mtaliwa sana; soma maandiko mwenyewe usilishwe pumba na ngano ipo.
 
Lkn kabla Mungu hajafanya kutoa adhabu kwa hawa matapeli, je na sisi tumewajibika kwa kias gani, mbona nabii Tito alidhibitiwa,

Hivi nabii Tito anatofaut gan na gwajima, au mwingira?



Sent using Jamii Forums mobile app
Tito alizidi sana aisee. Alianza kuharalisha uzinifu ndoani kwa wanandoa kuwagonga ma house girl na ulevi wa pombe. Ukiona mtumishi wa hivi kwenye makanisa ya kilokole nistue tujiunge mimi na wewe kujitoa muhanga kwa kutumia mabomu. Ila hili la maji ya upako halina madhara kwa jamii Bali ni kwa mtu mmoja mmoja tu. Wacha watu wapige pesa. Umuoni jiwe anavyokusanya buku twenty mtaani.

Ukiona umekeleka sana kuwa alshabab tegea wako ibadani ujitoe muhanga Mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tito alizidi sana aisee. Alianza kuharalisha uzinifu ndoani kwa wanandoa kuwagonga ma house girl na ulevi wa pombe. Ukiona mtumishi wa hivi kwenye makanisa ya kilokole nistue tujiunge mimi na wewe kujitoa muhanga kwa kutumia mabomu. Ila hili la maji ya upako halina madhara kwa jamii Bali ni kwa mtu mmoja mmoja tu. Wacha watu wapige pesa. Umuoni jiwe anavyokusanya buku twenty mtaani.

Ukiona umekeleka sana kuwa alshabab tegea wako ibadani ujitoe muhanga Mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nionanavyo afadhali na huyo nabii Tito kwa sababu baada ya kupimwa alionekana kuwa na matatizo ya akili.

Tatizo kubwa ni elimu na ukosefu wa wataalamu wa psychology wa kutatua matatizo mengine ambayo kwa kiasi kikubwa ndiyo uwa yamewakumba waumini wengi na hivyo kupelekea watu hao kudhani kwamba hao manabii ndiyo suluhisho la matatizo yanayowakabili.

Hivi inawezekana vipi mtu uwe mfuasi wa manabii wenaojiita majina kama Prophet Billionaire na wengine dizaini za Ngwanjima, Mzee wa Upaku na wengineo?
 
Hahahahah sema nini nimekuelewa sana askari wangu. Kuna pesa nyingi sana kwa kutumia mgongo wa yesu na mafuta ya baraka. Cha msingi kuwepo miujiza ya kidizaini ilioediitiwa kimahiri na adobe photoshop
Wanazikomba pesa za kutosha mpaka wengine wanapiga hesabu za kununua jet huku washirika wake masikini wa kutupwa kipindi cha Yesu ilikua yeye wa kawaida ila waumini wako njema ila sasa hivi mambo ni tofauti hao manabii,mitume nk ndiyo matajiri huku waumini wakibaki masikini tena wakutupwa.
 
Tito alizidi sana aisee. Alianza kuharalisha uzinifu ndoani kwa wanandoa kuwagonga ma house girl na ulevi wa pombe. Ukiona mtumishi wa hivi kwenye makanisa ya kilokole nistue tujiunge mimi na wewe kujitoa muhanga kwa kutumia mabomu. Ila hili la maji ya upako halina madhara kwa jamii Bali ni kwa mtu mmoja mmoja tu. Wacha watu wapige pesa. Umuoni jiwe anavyokusanya buku twenty mtaani.

Ukiona umekeleka sana kuwa alshabab tegea wako ibadani ujitoe muhanga Mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama pombe ,roman ,mashahid wa Yehova wanakunywa hadi makanisani,

Kuhusu wanawake kuoa wengi ,had mahousegirl alikuwa anachanganya maandiko kuyatafsiri ,kama wanavyofanya kina gwajima ,mzee wa upako, roman ,

Hivo hakuna hoja ya kumfunga nabii Tito, huku unamuacha gwajima,mwingira ,rwakatare, na matapeli wengine , wanaowauzia watu juice cola ,chumvi kwa laki 1,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom