kuna uwezekano ukaitwa kazini hata kama ukomo wa idadi walioihitaji umefika ?
Teari au tayari? Ngoja wajuvi wa mambo haya waje.Habari za Asubuhi wakuu naomba kuuliza kwa anaefahamu vizuri ,Eti ukifanya Mtihani wa kuandika (written) na kufaulu kuitwa usaili wa mazungumzo (Oral) teari kuna uwezekano ukaitwa kazini hata kama ukomo wa idadi walioihitaji umefika ?
Tangazo la kuitwa kwenye usaili ndio huwa linaeleza sehemu ya kufanyia usailiNa kwa upande wa madereva interview zao kwa sasa zinafanyika pia Dodoma au bado ni Dar.
Ningependa kulifahamu hili kwa wenye kujua.
Kama ulifaulu utajua utakapopangiwa nafasi ikipatikana, ila usiache kufanya saili zingine zinazoendeleaSawa mkuu Ahsante kwa mawazo yako ila wanasema matokeo ya oral ni siri mkuu hua hayaoneshwi navosikia , ila Ahsante kwa mchango wako