sisi hatumiliki sarafu, hatuuzi wala kununua sarafu wanaofanyaa hivyo ni wale wanaohusika mojakwamoja kwenye mtandao wa ECN, ila wewe unatumia mtandao mwingne wa broker unakuwezesha kuchambua mienendo ya bei inayotokea kwenye ECN network, ukikula broker anakulipa au atajua mwenyewe wapi achukue pesa akulipe na ukipoteza broker anachukua hela yako uliorisk kwa positions zako.. so unafanya speculation ya VALUE increase or decrease ya sarfu flani na sio unamiliki sarafu husikaa
Sure mkuu.tunauza thamani ya kitu, na sio tunauza kitu sawa mkuu uko vizuri sanaa kwama sio lazima umiliki kitu eg. mchele ndo upate pesa ila unaweza kuwa mchambuzi wa mwenendo wa mabadiliko ya bei ya mchele, na ukapata pesa zaidi ya mmiliki wa mchele, unaweza ukafanya speculation ya mchele, na ukapata pesa ukanunua mchele, na ukaweka stoo uwo mchele kwa muda flani kulingana na uchambuzi wakoo then ukasell ukapata faida. so at the same time umefanya business kama speculation na pia ukafanya business kwa kumiliki mchele
hata hapa tanzania naona imehalilishwa sijua mamlaka inayohusika maana naona hata bwana ontario anakula spreads tu, ameona njia nyingine salama ya kuingiza pasipo kugusa computer ni kutumia watu, wanatia mzigo then unakula spreads na wakizubaa unakula na pesa yakee hahahahahaSure mkuu.
Yaani hapa ni Kama wale Japanese rice traders walikuwa walikuwa waki guess soko ama Bei ya mchele itakavyoshuka ama kupanda.
Mfano Hawa Cfd brokers huwa wanaruhusu speculation ya kuwa a certain financial instruments itapanda ama itashuka so we benefit/loose.
Yes we don't buy an exactly financial instrument but we rather bet/speculate kuwa Bei ya hiyo instrument itapanda ama itashuka.
Mfano naweza nikafungua kampuni yangu ya watu waweze ku speculate kuwa Bei za bidhaa Fulani zitapanda ama zitashuka.
So sie hapa tunapodili na Hawa jamaa huwa hatuathiri Bei ya Ile real financial instrument hata kidogo.ila Bei tunayodili nayo ni real kabisa Kama Ile iliyoko sokoni kabisa.
USA banned Cfd brokerage company Mana wanadai kuwa sio real asset kabisa na due to leverage zinafanya watu wengi wa loose hela zao.
Ila nchi nyingi kibao zimehalilisha hizi Mambo na Kuna mamlaka kabisa zinazosimamia hizi kampuni. So ni biashara zinatambulika kabisa kwao.
Wanadai watalaamu kuwa ni like old bucket shops during Jesse Livermore era.kumbuka jamaa aliwala mpaka wakamkataa kwao Uk akaja New York ili atredi real market na alikuta iko tofauti na Ile aliyoizea. Ila pia hapa aliusoma mchezo akauwezea pia.
Kuna brokers wa USA wanaotoa real kabisa ya market yaani ukinunua inaathiri na stocks unazimiliki kabisa. So ukiamua uache ni value tu inashuka ama inapanda Ila hisa zako ziko vile vile.
Mfano wa huyo broker ni TD Ameritrade
sema kikubwa chati zinakuonesha kama umepata au umekosa, na ukipatia unalipwa na ukiloose unalipa wewe,Sasa iyo losses ndo broker concern yake kubwa sana
ahaaa leverage ya 100, hapa nazani lazima uwe na 10USD, ndo utrade minimum lot ya 0.01, tofauti na hapo kaa pembeniiView attachment 1935890kuna huyu jamaa katumia leverage to his advantage kwa xm broker mpaka wameanza kumpunguzia leverage. Na kumtoa bonuses walizompatia. Mana hapa karibia wampige bann naona. Mana yeye ni kuwala tu. Kumbuka broker anapenda upoteze Ila Sasa ukianza kula itakuwa shida kwake ingawa sio wote.
MT4 yako ikiaanza kuwa na kiburi ndo tutajua kuwa umeivaa sawasawaof course!
shida ni kuelewa na kutumia nyenzo za speculation kwa usahihi na ufanisi. Hapo ndipo wengi (90-95%) ya washiriki wa speculation wanapokwama. Ujuzi wa technical ama fundamental analysis ama zote ni jambo linalosumbua wengi maana hizi mbinu zina academia nyingi. Saikolojia ya hela nayo inawaumiza speculators maana mchango wake kwenye mafanikio sio chini ya 80%.
lugha ngumu hio sijaelewa hata kidogoSaya ingin tahu mengapa orang tidak percaya bahwa mereka dapat menghasilkan banyak uang di internet? Saya pikir lebih banyak orang harus mencari tahu tentang perdagangan dan halaman iq option login karena itu benar-benar menguntungkan untuk dilakukan. Tentu saja, tidak perlu berhenti dari pekerjaan Anda untuk itu, tetapi beberapa orang setidaknya dapat menggunakannya sebagai sumber penghasilan tambahan.
ha haaMT4 yako ikiaanza kuwa na kiburi ndo tutajua kuwa umeivaa sawasawa
hizo Tos na ninja 8 sizifahamu na hiyo motive wave sizijui kabisa ila trading view naitumia kwenye mazoeziha haa
Mkuu MT4 niliitupa kitambo.
1. Analysis MotiveWave na TradingView
2. Trading (ToS na Ninja8)
mt4 highly common, but I don't recommend.
Good luck.
I once heard XM ni MMView attachment 1935890kuna huyu jamaa katumia leverage to his advantage kwa xm broker mpaka wameanza kumpunguzia leverage. Na kumtoa bonuses walizompatia. Mana hapa karibia wampige bann naona. Mana yeye ni kuwala tu. Kumbuka broker anapenda upoteze Ila Sasa ukianza kula itakuwa shida kwake ingawa sio wote.
SD na R&S can't be the same zina principle zakeHiyo demand and supply zone si ndiyo support & resistance mkuu au labda una maana gani utueleweshe vizuri. Hayo maneno sijui accumulation na distribution ni maneno ya kuuzia vitabu tu ila Msingi wa fx market ni Support ( Demand zone) na Resistance (Supply zone). Hata mimi huwa sipendi kuchora hizo support & resistance lines na trend lines nilizichora wakati nikiwa newbie tena kwa muda mfupi tu nakajiongeza nikatafuta njia rahisi ya kujua support (demand/oversold zone) na resistance (supply/overbought zone). Ila kwa newbie hapa bongo lazima wapitie hiyo hatua ya kuchora hayo ma mistari maana walimu wengi ndio wanayofundisha hayo maana hawawezi kutoa holy grill strategies zao kwa wanafunzi ( selfish nature ya mwanadamu).
Kuna faida na hasara ya mm na za kuwa ecn brokerI once heard XM ni MM
sijaelewa statementKuna faida na hasara ya mm na za kuwa ecn broker
mkuu tueleze tofauti zakeSD na R&S can't be the same zina principle zake
Once you know about SD utajua kuwa ulikuwa hujui kitu hapo kabla
I guarantee it
okayhizo Tos na ninja 8 sizifahamu na hiyo motive wave sizijui kabisa ila trading view naitumia kwenye mazoezi
hivi TD ni broker wa wapi?? anaruhusu tanzania? kudepost na kutoa kiwango cha chini ni shingapi? mkuu hio tos ngoja nije niijaribuokay
sio tatizo...ToS (Think or Swim) platform ya TD Ameritrade - very stable Kwa trading, Ninja Trader pia ni very stable trading platform. They do not freeze unlike MT4.
MotiveWave ubora wake ni analysis...mambo ya Elliott Wave na Harmonics trading.
Lakini MT4 na Trading View pia zinatosha. inategemea preference za analyst na trader.