Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,606
- 1,956
Wadau,
Karibuni sana kwa maswali yeyote juu ya kabila la wakurya linalopatikana mkoani Mara na hususani Wilayani Tarime.
Kwa mfano waweza uliza:
Kwanini wakurya ni mwema wababe?
Kwanini wakurya wanadharau sana watu wasiofanyiwa tohara?
Karibuni sana kwa maswali yeyote juu ya kabila la wakurya linalopatikana mkoani Mara na hususani Wilayani Tarime.
Kwa mfano waweza uliza:
Kwanini wakurya ni mwema wababe?
Kwanini wakurya wanadharau sana watu wasiofanyiwa tohara?