Uliyonifanyia yalinifanya niwe mdogo kama piriton

dada dena, mambo vipi? nlikumiss sana. jamaa moood isharudi?. Mkuu wewe hujakutana na matukio kama haya? Mia

Ha ha ha ha mie siwezi kukutwa na mambo kama hayo
Huwa mambo ya JF nayaacha hapa hapa siendi nayo zaidi.

BTW: Niko mzima mood ilisharudi siku nyiiingi
 
Hapo kweli ulicheza kamchezo kale kazamani kumfichua aliyefichama na haulewi ameelekea wapi/lkn ulifanya ziara na kusafisha vioneo.
 
Dogo unaniangusha,, we hujui humu hakuna watu halisi, ni programme tu ndo inaoperate. Hata mimi nimeprogramiwa kukujibu ivyo.
 
Mkuu nimecheka si kipolepole. Pole kwa mkasa. e bwana watu watakuwa wamejifunza kwako. Bahati nzuri sijawahi danganywa ivo, ila nshawahi kukutana irregular polygon moja,ina sauti tamu,lakini umbo+reception ni utata mtupu. mi nlijua angekuwa mzuri kama sauti yake lakini wapi bwana.
 
Hapo kweli ulicheza kamchezo kale kazamani kumfichua aliyefichama na haulewi ameelekea wapi/lkn ulifanya ziara na kusafisha vioneo.

hahahaaa...!!. nlikuwa sijawahi kupanda boti lol. Mia
 
Mkuu nimecheka si kipolepole. Pole kwa mkasa. e bwana watu watakuwa wamejifunza kwako. Bahati nzuri sijawahi danganywa ivo, ila nshawahi kukutana irregular polygon moja,ina sauti tamu,lakini umbo+reception ni utata mtupu. mi nlijua angekuwa mzuri kama sauti yake lakini wapi bwana.

hahahahaaaaaaaa...!!nmecheka si polepole. mkuu wewe hujui?. Ogopa wasichana wenye sauti nzuri kwenye simu, wengi wao hawana mvuto wa umbo na sura. hahahaaa..!!. Mia
 
Mkuu mimi sijambo kabisa. vipi mambo? acha kujitenga, jichanganye au ndo ubusy. Mia

ubusy mkuu...naogopa kuwa goal keeper wanaume wenyewe wa siku hizi hamuaminiki... Acha mtoto wa kike nihangaike.. Halafu ungeniambia umeenda zenji ningeku direct kwa bibi angalau akakupikie biriani upunguze machungu ya mtoso...
 
ubusy mkuu...naogopa kuwa goal keeper wanaume wenyewe wa siku hizi hamuaminiki... Acha mtoto wa kike nihangaike.. Halafu ungeniambia umeenda zenji ningeku direct kwa bibi angalau akakupikie biriani upunguze machungu ya msoto...

mkuu nilifanya siri eti watu wa jf wasijue kama tunawasiliana na huyo she. ningejua kama inakuwa hivi ningekuambia tu dada angu. nina mpango wa kwenda tena mwezi wa tatu. ntakustua. usijari wala nini. pamoja sana. Mia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom