Uliye naye ulimpenda kwa sababu gani?

Uliye naye ulimpenda kwa sababu gani?

Tutor B

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2011
Posts
9,025
Reaction score
6,617
Naanza mimi; nilimpenda kwa sababu ya upole wake, rangi yake ya ngozi (kutopenda kujichubua), kutopenda kuweka dawa kichwani - anapenda kusuka rasta. Mengine yalifuata baadaye, wewe je?
 
Mh! eti mm nilimpenda bse alikuwa kichwa sn alikuwa ananifundisha biology na chemistry.
 
wa kwangu alivyo msafi siyo mchoyo wa hela nikitoka job nambembelezwa hadi nasahau maudhi ya kazini na kwa mapishi noma
 
Tabia 95%, Uzuri 100%, tamaa 0.00%, malezi kwangu 100% bila kusahau ndoa yenyewe (mambo ya wakubwa) 1000%. Hapo kwa nini kidume nisipotezwe????????????????????????
 
Kwenye mambo ya sita kwa sita mtundu sana ila kwa muonekano sikumzania ndicho alichofanya nimpende.
 
Mm cjui nilimpendea nn maana mwanzon nilikuwa simtak nikajikuta niko kny ndoa na tunapendana kwa kweli upendo wangu hauna sbb.
 
upendo haujivuni,upendo hauna sababuuuu ukimpenda sababu ya ngozi yake iko muda makunyanzi yataota,ukimpendea shape ipo siku atakua na kitambi atabadilika...mpendeee kwa sababu ANA MAHELA,siku yakiisha na wewe unasepa
 
Nilipomwona tu moyo wangu ulifunguka, ilikuwa kama nilishawahi kumuona mara nyingi sana kumbe laa......
 
Nampenda sana kwa ajili ananisikiliza, ananiheshimu, ananipenda na kunijali endapo anafanya makosa ananiomba msamaha na kuniambia ukweli bila kumuuliza, hana tabia za kunipiga vibomu....
 
He is extremely caring and committed to me,the best lover,He makes me feel special arrogant proud and sexy woman ,smoking hot and he is masculine handsome white men,He makes me feel loved wanted and cared .He is the best father and protector ,the best husband .HIS money too matters , I love his money too ,love to spend it love Kujishaua.KWA kufupi nina kiburi na maringo kwa ajili nina mume anaenishughulikia haswa na Ana mkwanja .Nikitembea mguu Kule nina uhakika napendwaaaaaa
 
Napikiwa,naogeshwa,nalishwa,breakfast chumbani .You name it he does it for me .Nina kiburiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
maswali ni yale yale, watu ni wale wale
ila majibu yao yanabadilika kila kukicha.
Sijui na partners wanabadilika ndio maana?
 
upendo haujivuni,upendo hauna sababuuuu ukimpenda sababu ya ngozi yake iko muda makunyanzi yataota,ukimpendea shape ipo siku atakua na kitambi atabadilika...mpendeee kwa sababu ANA MAHELA,siku yakiisha na wewe unasepa

Mwanaume anaejua kutafuta pesa haiishi,ikiisha huyo sio mwanaume anababaisha tuu.
 
hata cjui kwa nini nampenda sanaaaa
inshort sijui ila nampenda sanaaa
 
Back
Top Bottom