Hahahaha hahahah ahaUkiwa na mtaji wa $10,000 kwenye account yako ya forex, kutengeneza laki 3 kwa siku ni kama kunywa maji tu.
Au kuipoteza yote ndani ya siku moja ni kama kutema maji tu 🤣🤣🤣Ukiwa na mtaji wa $10,000 kwenye account yako ya forex, kutengeneza laki 3 kwa siku ni kama kunywa maji tu.
😂😂😂😂Ukiwa na mtaji wa $10,000 kwenye account yako ya forex, kutengeneza laki 3 kwa siku ni kama kunywa maji tu.
Kama hufuati money management inapotea ndani ya sekunde,Au kuipoteza yote ndani ya siku moja ni kama kutema maji tu
Nipe ni kutradie.
Millioni moja miezi miwili? Unakaa hostel?Aisee leo nimeshangaa naambiwa kuna jamaa anatengeneza MILLION KWA SIKU MOJA
wakati hiyo n budget yangu miez2
Malengo yangu kwa sasa nikuweza kutengeneza laki 2 tu kwa siku!Mlioweza mliwezaje kutengeneza 200,000/= kwa siku moja?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ukiwa na mtaji wa $10,000 kwenye account yako ya forex, kutengeneza laki 3 kwa siku ni kama kunywa maji tu.
Nimekuelewa Sana,japo Mafanikio ni siriMillioni moja miezi miwili? Unakaa hostel?
Anyway, karibu JamiiForums. Kijiwe cha matajiri.
Kutengeneza Tsh 200,000 kwa siku njia kubwa sana ni janjajanja tu na dili za udalali. Kama hauna aibu wewe saidia kwenye udadali au mauzo kisha top up cha kwako then mshawishi mteja alipie fasta.
Ukisikia jamaa anauza gari Tsh Millioni 4.0 wewe tafuta mteja mvishe kwa Tsh Millioni 5.0. Atabargain na kulialia hadi Tsh Millioni 4.5 na wewe utakuwa umetengeneza Tsh Laki tano. Kwa kuwa malengo yako ni Tsh 200,000 kwa siku hiyo laki tatu iliyozidi utanipa mimi hivyo na mimi nitakuwa nimetengeneza Tsh 300,000 kwa siku.
Ila nikutahadharishe tu, Watu hao hawapati pesa hizo kila siku; ni dili za mara moja moja, na nyingine ni risk sana. Au magumashi kibao hadi ya kufoji signature za marehemu.
By the way wengine ni story tu, they don't have that money!!!
Kaka mi nikiwa na mtaji wa $10,000 kwa fx hiyo laki 3 ndogo sana ntatengeneza $500Ukiwa na mtaji wa $10,000 kwenye account yako ya forex, kutengeneza laki 3 kwa siku ni kama kunywa maji tu.
Kakope bank hio $10,000 uwekeze huko. I'm sure marejesho kwa mwezi hayatazidi $500Kaka mi nikiwa na mtaji wa $10,000 kwa fx hiyo laki 3 ndogo sana ntatengeneza $500
Ongea pia na kuipoteza ni suala la kufumba na kufumbua in case ego ukiwa juuKaka mi nikiwa na mtaji wa $10,000 kwa fx hiyo laki 3 ndogo sana ntatengeneza $500
Wewe uvccm acha utapeli. Nitakusemea kwa mama.Nipe ni kutradie.