TIASSA
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 2,893
- 3,423
(1) Kuzika walio kufa na walio hai,
Hii ilitokea hayo maeneo ambayo yalikuwa na machifu., chifu akifa wanachaguliwa vijana kama wanne wa kumsindikiza chief.
(2) Kuwatupa mapacha,
Naskia hii ilikuwa sana huko kilimanjaro ambapo waliamini mapacha ni nikosi na nuksi kwenye ukoo hivyo waliwatupa mbali kongorongoni au kwenye bonde refu.
(3) kuwafunga watoto viuzi vyeusi kiunoni hii niliiyona sana huko kanda ya ziwa.. Nasijui inamaanisha nini
(4) nahii nyingine ya mtoto aliyezaliwa alafu mama yake akafa basi yule mtoto alichukiwa sana maisha yake yote na watu walikuwa wakimwambia kuwa amemuu mama yake..
Zipo na nyingine nyingi unaweza ukatujuza unazo zifahamu na wewe pia.. Za hapa Tanzania na nche ya hapa
Hii ilitokea hayo maeneo ambayo yalikuwa na machifu., chifu akifa wanachaguliwa vijana kama wanne wa kumsindikiza chief.
(2) Kuwatupa mapacha,
Naskia hii ilikuwa sana huko kilimanjaro ambapo waliamini mapacha ni nikosi na nuksi kwenye ukoo hivyo waliwatupa mbali kongorongoni au kwenye bonde refu.
(3) kuwafunga watoto viuzi vyeusi kiunoni hii niliiyona sana huko kanda ya ziwa.. Nasijui inamaanisha nini
(4) nahii nyingine ya mtoto aliyezaliwa alafu mama yake akafa basi yule mtoto alichukiwa sana maisha yake yote na watu walikuwa wakimwambia kuwa amemuu mama yake..
Zipo na nyingine nyingi unaweza ukatujuza unazo zifahamu na wewe pia.. Za hapa Tanzania na nche ya hapa