Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,275
- 18,352
- Thread starter
- #101
Ni marufuku watu kwenda Mbagala?'Mkoa fulani sitautaja'
Halafu kwenye screen shot inaonyesha dem alikuwa anaenda Mbagala
Ni marufuku watu kwenda Mbagala?'Mkoa fulani sitautaja'
Halafu kwenye screen shot inaonyesha dem alikuwa anaenda Mbagala
Oh, huyu atakuwa anajua anaumwa au ana mashaka na afya yake.No, tunazungumzia mtu ambaye anakwambia hata umpe muda gani hatapima.
Oh, huyu atakuwa anajua anaumwa au ana mashaka na afya yake.
Vyovyote vile iwe ananipenda hanipendi, kupima ni lazima hataki basi akamtunuku mwingine tuAfu inaonyesha yeye sio kivile kwako alitaka kukutunuku tu ww ulivyokuja na mambo ya kupima akaona unamzingua ndio maana hata ulivyosema mwachane hata hakustuka