Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,613
- 8,042
Duuuh...! Kumbe ilitakiwa uwe umeshaokoka zamaniMkuu we acha tu nilishakula kiapo kamwe sitofanya tena,ilikuwa tarehe 30/5/20019 Mimi na Mchepuko wangu tulienda kupima HIV ni baada kuipiga kavukavu ,vipimo vikaonyesha mwenzangu Positive halafu Mimi Negative,nilichanganyikiwa ,nikapewa ushauri nianze dozi ya kudhibiti maambukizi mwezi mmoja,Ile dozi ilinitesa Sana mwezi ulikuwa Kama mwaka ,lakini baada ya hapo nikaendelea na uzinzi