magasi jnr
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 364
- 571
Nawasalimu wakubwa zangu wote, Natumai Nyote ni Wazima wa afya huku tukiendelea kuusubiri Mwaka mwingine tena(2021)
BACK TO THE TOPIC
Mimi ni graduate wa chuo mwaka huu na umri wangu ni early 20s, Nipo mtaani sina mbele wala nyuma na sioni dalili zozote za kutoboa kimaisha hivi karibuni... Kuna mda nikikaa mwenyewe nawaza mengi sana moyoni " Hivi kweli na mimi nitakuja kujenga na kuwa na familia kama wengine" b'coz mpaka sasa ni mtu wa kusubiri ugali mezani
Hivyo basi ningependa kusikia maoni na ushauri kutoka kwa WAKUBWA, Je Ninyi Mlitoboa MAISHA mkiwa na UMRI gani???? Hasa wanaume ambaye ni nguzo kuu ya kujenga familia, Lengo kubwa la kuuliza hivyo ni kwamba mawazo yananiua mdogo mdogo, kwa kifupi najiona kama Nimechelewa hivi na bado nazidi kuchelewa.
#LIVE, LAUGH, FOCUS
BACK TO THE TOPIC
Mimi ni graduate wa chuo mwaka huu na umri wangu ni early 20s, Nipo mtaani sina mbele wala nyuma na sioni dalili zozote za kutoboa kimaisha hivi karibuni... Kuna mda nikikaa mwenyewe nawaza mengi sana moyoni " Hivi kweli na mimi nitakuja kujenga na kuwa na familia kama wengine" b'coz mpaka sasa ni mtu wa kusubiri ugali mezani
Hivyo basi ningependa kusikia maoni na ushauri kutoka kwa WAKUBWA, Je Ninyi Mlitoboa MAISHA mkiwa na UMRI gani???? Hasa wanaume ambaye ni nguzo kuu ya kujenga familia, Lengo kubwa la kuuliza hivyo ni kwamba mawazo yananiua mdogo mdogo, kwa kifupi najiona kama Nimechelewa hivi na bado nazidi kuchelewa.
#LIVE, LAUGH, FOCUS


