Youth Worker Tanzania
Member
- Nov 2, 2020
- 68
- 90
Habari Wakuu,
Inawezekana hivi sasa ni miaka kadhaa uko nyumbani au mtaani au pengine mwaka huu ulitamani kujiendeleza kielimu kwa ngazi yeyote, Lakini umekumbwa na changamoto ambazo zimepelekea kukwamisha ndoto zako.
Niliwahi kukumbwa na hali kama hii,Kiukweli ugumu wake asikwambie mtu,Lakini kwa kuwa nia ilikuwa moyoni nilizigeuza changamoto kuwa fursa, Ikiwa ni pamoja na kujisomea online, IIihali nikitafuta vyuo vilivyoendana na ufaulu wangu.
Nawe karibu katika uzi huu utueleze kwa sasa unafanya nini kuhakikisha hutoki nje ya wazo lako.
Inawezekana hivi sasa ni miaka kadhaa uko nyumbani au mtaani au pengine mwaka huu ulitamani kujiendeleza kielimu kwa ngazi yeyote, Lakini umekumbwa na changamoto ambazo zimepelekea kukwamisha ndoto zako.
Niliwahi kukumbwa na hali kama hii,Kiukweli ugumu wake asikwambie mtu,Lakini kwa kuwa nia ilikuwa moyoni nilizigeuza changamoto kuwa fursa, Ikiwa ni pamoja na kujisomea online, IIihali nikitafuta vyuo vilivyoendana na ufaulu wangu.
Nawe karibu katika uzi huu utueleze kwa sasa unafanya nini kuhakikisha hutoki nje ya wazo lako.