Ulishughulika vipi na kisa cha namna hii?

Alikuwa namtu baada ya kumkazia baharia. Amna kitu kinauma roho kama umtokee classmate mwaka mzima halafu ndani ya week tu mwisho kabla ya kufunga shule anaenda beach na mwana aliyemkubalia wakati we alikuwa anakukazia deile ukicheki pia mko class moja.

Usithubutu kukutwa na bwana pepsi 😅😅😅! Niliwahi kumpotezea demu kuanzia diploma mpaka namalizia degree hata salamu yangu tu simpi na hapo awali tulikuwa marafiki kichizi.
 
Basi wacha kumkumbusha machungu jamaa utamfanya amstopishe kuja geto kumkula[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Asante kwa kunishauri
 
Nashkuru sana dada Joanah
 
Huwa tunakuwa tuna watu tunaowapenda na matarajio nao kumbe ni mabazazi...matokeo tukishatendwa tunaanza kuangalia angali option B😁😁
Ni ngumu sana kuwalaumu waschana kwa sababu hata nyie huwa hamjui yupi hasa ana nia njema nanyi
 
Kaka asante sana. Unachosema kina mantiki na sababu za msingi na wanachonishauri ndugu zangu wengine nao wana sababu za msingi. Nashkuru sana.
 
Asante kwa kushare uzoefu wako. Dah! Kesi ngumu sana kwangu hii. Nahisi maamuzi yoyote ntakayofanya yatanipa majuto tu!!!.
 
Kuna mdada humu aliwahi kuandika

Wanaotumia majina yao halisi humu JF hawana Akili timamu. Nazidi kulisadiki hili
Hayo ni maoni yake na yako tu. Maoni ya mtu si lazima yawe kanuni.
 
Asante sana
 
Aiseee!!! Maumivu yake asikwambie tu. Unajiuliza, bidii yote yote ile ya kutafuta kuongea nae kumpa offer canteen ila mwisho wake ndo huu?
 

Duuh kweli una kisasi kibaya, ungeendelea tu kumfanya rafiki
 
MDOGO wangu mimi nakushauri kama mwanamke, kwanza huyo binti kukukataa kipindi hicho chooote cha shule wala si kosa lake, sisi wanawake linapokuja swala la mahusiano tunabadilika kutokana na muda, wanaume tunaowapenda na kutaka kuwa nao katika u teenager sio tutakaowataka tunapofikisha miaka kuanzia 25-28 kwenda mbele. kuanzia umri huo ndipo huwa tunaanza kujua yupi husband material na yupi atakupotezea muda. Hivyo basi huyo binti wala si kwamba ana tatizo au vipi kama watu wanavyotka kukuaminisha, ila akili imeshapevuka ameshajua mbivu zipi na mbichi ni zipi. Cha msingi usiji force if u still think and feel she is the one go for it, ila kama unaona hayupo moyoni kiviiile achana nae, mpotezee treat her kama alivyokuwa ana ku treat wewe, acha akutafute usimtafute, msg usijibu au ukijibu iwe short and clear atajiongeza yeye mwenyewe na ku move on. Ila pia kama utaamua kuwa nae dont rush, take things slowly uweze kumjua kiundani na nia yake na kama usalama upo
 
Hata mimi nimewaza kama hivi.
Demu ambaye amekata tamaa na maisha ukiwaonesha geto huwa ni wasumbufu sana akija habanduki anataka akae mwezi mzima mwishowe anakuwa mke kilazima
 
Hata mimi nimewaza kama hivi.
Demu ambaye amekata tamaa na maisha ukiwaonesha geto huwa ni wasumbufu sana akija habanduki anataka akae mwezi mzima mwishowe anakuwa mke kilazima
Ndio ivyo mkuu ndo mana nikamwambia jamaa afanye hivi mana tumeshuhudia mengi sana
 
Kumbe ndio mlivyoooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkishajiona mmekuwa shikamoo jazi ndio mnaanza kufukua makaburi[emoji14][emoji14]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…