Ulishawai kuoa kimasihara

Ulishawai kuoa kimasihara

pet geo pet

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2018
Posts
516
Reaction score
815
Wakuu habarini!

Katika maisha yangu sikutegemea kuoa kama nilivyofanya kwa sasa.

Kisa kipo hivyo,kuna Dada mmoja nilianza nae mahusiano kama MTU na mpenzi wake,yeye alikuwa amepanga chumba chake na mimi nilikuwa nimepanga chumba changu.

Ikawa kila siku tunabadilisha vyumba Mara kwake Mara kwangu.

Muda ulivyozidi kwenda nikaona uboya huu kwenda kulala kwake,nikaamua kukacha mazoea ya kwenda kwake kulala.

Yeye akawa anakuja kwangu kila siku ila kwake anapafunga,ikawa kama kawaida
Tulidumu kwa muda wa miezi 6.

Demu akaanza kuleta nguo zake ndani kama masihara hivi,kila akija lazima aache nguo cha ajabu akawa akitoka kazini kwao anafikia kwangu kuoga kula kila kitu kwangu.

Nikajaribu kumwambia mbona kwako haukai?akasema ametokea kupapenda tu kwangu.

Basi Mara akaomba funguo moja ..nikaona sio kesi ngoja nimpatie.

Mwezi uliopita demu kaniambia ana mimba yangu hivyo inabidi tuoane.nilijaribu kumwambia sina mpango wa kuoa sasahivi labda ilo tupange badae..

Mpaka sasahivi mimeoa bila kutarajia wala sikupanga kabisa kuoa mwaka huu ..

Karibuni wakuu tushee mawazo.je wezangu mulioaje?
 
Ukutaka iyo njoo Tanga au Zanzibar af ujitie kutania watoto wakike utaoa af uzingue .. Utani wa bara muache uko uko utaozeshwa bila kupenda
 
I see bright future on this thread. Let me order some more popcorn,I might learn something today..
 
Awamu Hii Ya Tano
Ndugu Zangu Watu Wazae Elimu Bure
Akija Rais Mwingine Ndiyo Mpange Uzazi
Katika Utawala Wangu Hakuna Kupanga Uzazi


Mleta Mada Hayo Ndiyo Mambo Serikali Inataka
Idadi Ya Watu Inasaidia Uchumi Wa Kati Kukua Haraka
 
Wakuu habarini!

Katika maisha yangu sikutegemea kuoa kama nilivyofanya kwa sasa.

Kisa kipo hivyo,kuna Dada mmoja nilianza nae mahusiano kama MTU na mpenzi wake,yeye alikuwa amepanga chumba chake na mimi nilikuwa nimepanga chumba changu.

Ikawa kila siku tunabadilisha vyumba Mara kwake Mara kwangu.

Muda ulivyozidi kwenda nikaona uboya huu kwenda kulala kwake,nikaamua kukacha mazoea ya kwenda kwake kulala.

Yeye akawa anakuja kwangu kila siku ila kwake anapafunga,ikawa kama kawaida
Tulidumu kwa muda wa miezi 6.

Demu akaanza kuleta nguo zake ndani kama masihara hivi,kila akija lazima aache nguo cha ajabu akawa akitoka kazini kwao anafikia kwangu kuoga kula kila kitu kwangu.

Nikajaribu kumwambia mbona kwako haukai?akasema ametokea kupapenda tu kwangu.

Basi Mara akaomba funguo moja ..nikaona sio kesi ngoja nimpatie.

Mwezi uliopita demu kaniambia ana mimba yangu hivyo inabidi tuoane.nilijaribu kumwambia sina mpango wa kuoa sasahivi labda ilo tupange badae..

Mpaka sasahivi mimeoa bila kutarajia wala sikupanga kabisa kuoa mwaka huu ..

Karibuni wakuu tushee mawazo.je wezangu mulioaje?
kama umeoa huyo dada kacheza vizuri sana karata zake, maaana tuna ndugu zetu mapenzi ya kijinga yamewafanya wawe masingo mazas, sasa kama umeoa hapo basi sista kafanya bonge moja la uwekezaji, sasa tulizana na mkeo, kashaonesha ni mjanja, atakuwa mjanja hadi kwenye mafanikio ya kimaisha. sasa jifanye kumletea drama utaenda kuokota mwanamke mshamba, halafu mjini pagumu sana kuishi na wanawake waliozubaa
 
Wakuu habarini!

Katika maisha yangu sikutegemea kuoa kama nilivyofanya kwa sasa.

Kisa kipo hivyo,kuna Dada mmoja nilianza nae mahusiano kama MTU na mpenzi wake,yeye alikuwa amepanga chumba chake na mimi nilikuwa nimepanga chumba changu.

Ikawa kila siku tunabadilisha vyumba Mara kwake Mara kwangu.

Muda ulivyozidi kwenda nikaona uboya huu kwenda kulala kwake,nikaamua kukacha mazoea ya kwenda kwake kulala.

Yeye akawa anakuja kwangu kila siku ila kwake anapafunga,ikawa kama kawaida
Tulidumu kwa muda wa miezi 6.

Demu akaanza kuleta nguo zake ndani kama masihara hivi,kila akija lazima aache nguo cha ajabu akawa akitoka kazini kwao anafikia kwangu kuoga kula kila kitu kwangu.

Nikajaribu kumwambia mbona kwako haukai?akasema ametokea kupapenda tu kwangu.

Basi Mara akaomba funguo moja ..nikaona sio kesi ngoja nimpatie.

Mwezi uliopita demu kaniambia ana mimba yangu hivyo inabidi tuoane.nilijaribu kumwambia sina mpango wa kuoa sasahivi labda ilo tupange badae..

Mpaka sasahivi mimeoa bila kutarajia wala sikupanga kabisa kuoa mwaka huu ..

Karibuni wakuu tushee mawazo.je wezangu mulioaje?
Usijali mkuu pia kuachana mtaachana kimasihara, ndio maisha hayo.
 
Wakuu habarini!

Katika maisha yangu sikutegemea kuoa kama nilivyofanya kwa sasa.

Kisa kipo hivyo,kuna Dada mmoja nilianza nae mahusiano kama MTU na mpenzi wake,yeye alikuwa amepanga chumba chake na mimi nilikuwa nimepanga chumba changu.

Ikawa kila siku tunabadilisha vyumba Mara kwake Mara kwangu.

Muda ulivyozidi kwenda nikaona uboya huu kwenda kulala kwake,nikaamua kukacha mazoea ya kwenda kwake kulala.

Yeye akawa anakuja kwangu kila siku ila kwake anapafunga,ikawa kama kawaida
Tulidumu kwa muda wa miezi 6.

Demu akaanza kuleta nguo zake ndani kama masihara hivi,kila akija lazima aache nguo cha ajabu akawa akitoka kazini kwao anafikia kwangu kuoga kula kila kitu kwangu.

Nikajaribu kumwambia mbona kwako haukai?akasema ametokea kupapenda tu kwangu.

Basi Mara akaomba funguo moja ..nikaona sio kesi ngoja nimpatie.

Mwezi uliopita demu kaniambia ana mimba yangu hivyo inabidi tuoane.nilijaribu kumwambia sina mpango wa kuoa sasahivi labda ilo tupange badae..

Mpaka sasahivi mimeoa bila kutarajia wala sikupanga kabisa kuoa mwaka huu ..

Karibuni wakuu tushee mawazo.je wezangu mulioaje?
Mkuu kwao wanajua lakini!?
 
Back
Top Bottom