Ulishawahi ona barabara inapigwa deli?

Ulishawahi ona barabara inapigwa deli?

Nimekuonesha moja ya gari inayofanya shughuli hizo.

Hata kama ingekuwa imeegeshwa chumbani.

Upo?

Duuh ngoja nikae kimya ila kwa msaada wa bure bara bara inafagiwa kutoa mchanga na kisha they wet si deki kaka
 
Duuh ngoja nikae kimya ila kwa msaada wa bure bara bara inafagiwa kutoa mchanga na kisha they wet si deki kaka
Ngoja nikuulize swali?

Ukishamaliza kufagia kisha ukipitisha maji nini maana yake?

Sio deki
 
Ngoja nikuulize swali?

Ukishamaliza kufagia kisha ukipitisha maji nini maana yake?

Sio deki

Umeshinda mkuu Lowasa 😂 😂 😂 Mimi boya magufuri ntakuwezea wap?? Wewe noma
 
Umeshinda mkuu Lowasa    Mimi boya magufuri ntakuwezea wap?? Wewe noma
Hatushindani.

Tunawekana sawa tu.

Na wala sijakuambia kuwa wewe ni boya wapi nimesema hivyo!

Kwani wewe mwanasiasa?
 
Back
Top Bottom