Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,819
- 225,609
Comment yako nilivyoisoma nimejikuta nacheka.Mbona unacheka sasa!
Comment yako nilivyoisoma nimejikuta nacheka.Mbona unacheka sasa!
Wewe ulionaje ile hali? Huhisi kuwa kwa hali ile kuna kitu unakikosa kutoka kwake?Anademu wake nasii mmoja mie ndio namfichia siri zake nakutunga story za uongoo.
Hajawahi kunichezea nawala hakudhamiria
Mkuu nashangaa wanawake wanasifia kabisa kuona mwanaume ambaye si ndugu yake kalala naye usiku kucha bila hata kumgusa popote. Hakuna tusi mbaya kwa uanaume kama hilo! Aisee hiyo sifa inipitie mbali katika jina la Yesu! Yes nasema jina la Yesu wala sijakosea.Hivi wanawake wanaotetea urafiki wao na wanaume,kwenye ndoa zao wapo comfortable waume zao kuwa na marafiki wa kike walioshibana?
Women have girlfriends and boyfriends, if you are not f****ng her then you are her girlfriend, na wanawake wengi humu wameadmit kuwaona marafiki zao wa kiume kama mashosti zao tu, isn't that an insult to your manhood?
I had such kind of friend.Habari zenu wakuu,
Nimemkumbuka kaka fulani tulikuwa marafiki sana tangu nikiwa secondary. Kwa miaka 10 alikuwa mtu wangu wa karibu sana, mshauri wangu kwenye kila Jambo.
Kiasili Mimi ni introvert, sipendi mashost, mashoga wale wakunijua kiundani. So kuwa na this guy ambae nlikuwa namwambia issue zangu ilinifanya niwe na amani sana atleast I have someone wakusikiliza matatizo yangu when I'm down.
Tulikuwa marafiki, kila mtu was so free and open kwa mwenzake. Akiwa na stress za Kazi, maisha au mahusiano atanipigia nimpe ushauri. Akipata msichana lazima aniulize unamuonaje huyu.
Nilikuwa nikiwa hata na stress za mahusiano au maisha, hata kama ni usiku wa manane nitampigia atapokea. Sometimes ninauchungu na hasira nikimpigia akipokea tu naanza na yowe nalia hapo atanibembeleza nikitulia naanza kumwadithia kilichojiri.
Alikuja kuoa later, Wife wake akaanza kumind urafiki wetu wakati kiukweli hatukuwa na cha zaidi. We spoke about it na niliamua tusitishe ukaribu wetu, Mke wake awe na Amani.
I really miss you Rafiki.
She was expecting something from uDah since i met her 2010 tulipokutana kwenye basi la aboud from R chuga to .......
H ulikua bonge la mshakaji kwangu since hyo siku tuliyobadilishana namba
Ajabu tangu nimeoa (2020)uliondoa kabisa ukaribu kwangu and i decided to let our friendship go.nakukumbuka sana rafiki yangu.
Wewe mumeo akiwa na urafiki wa karibu sana na mwanamke mwingine utakuwa comfortable? I mean, watoane out bila wewe kujali, wasafiri pamoja bila uwepo wako, kifupi wawe na ukaribu ambao hutajali hata kidogo, can you?Habari zenu wakuu,
Nimemkumbuka kaka fulani tulikuwa marafiki sana tangu nikiwa secondary. Kwa miaka 10 alikuwa mtu wangu wa karibu sana, mshauri wangu kwenye kila Jambo.
Kiasili Mimi ni introvert, sipendi mashost, mashoga wale wakunijua kiundani. So kuwa na this guy ambae nlikuwa namwambia issue zangu ilinifanya niwe na amani sana atleast I have someone wakusikiliza matatizo yangu when I'm down.
Tulikuwa marafiki, kila mtu was so free and open kwa mwenzake. Akiwa na stress za Kazi, maisha au mahusiano atanipigia nimpe ushauri. Akipata msichana lazima aniulize unamuonaje huyu.
Nilikuwa nikiwa hata na stress za mahusiano au maisha, hata kama ni usiku wa manane nitampigia atapokea. Sometimes ninauchungu na hasira nikimpigia akipokea tu naanza na yowe nalia hapo atanibembeleza nikitulia naanza kumwadithia kilichojiri.
Alikuja kuoa later, Wife wake akaanza kumind urafiki wetu wakati kiukweli hatukuwa na cha zaidi. We spoke about it na niliamua tusitishe ukaribu wetu, Mke wake awe na Amani.
I really miss you Rafiki.
Nadhan tuna shida au ule msemo kuwa hakuna friendship Kati ke na me ndo unatusumbua.Tusiokuwa na marafiki na wala hatukuwahi kuwa nao mje huku nyuma tujadiliane ni wapi tunakwama.
DuuDaaa huu uzi umenigusa mmnoooo,
Nilikuwa na rafiki pia, alikuwa ni zaidi ya ndugu yangu,
Alikuwa na mwanamke ambaye sahizi ni mke wake, nilimpenda yule dada kwaajili ni demu wa rafiki yangu, alipooa nadhani ilikuwa ni ndoa yangu ya kwanza kuchangia hela nyingi.
Alipoolewa tu yule dada jamani, alinigeuzia kibao kikubwa na kusema nambebea mumewe, akawa anampelekesha rafiki yangu vibaya ilikuwa inaniuma sana, lakini niliamua kukaa pembeni nisilete ugomvi wa ndoa ya watu.
Rafiki yangu alikuwa ni kajamaa flani kenye nyota, si kazini wala mtaani lakini gafla aliandamwa na mabalaa mara ajali mara madeni, alipoteza nuru na kila kitu.
Nikimwona roho inaniuma sana kwasababu kapoteza vingi kwa kupelekeshwa na mke..
Rafiki yangu, nakumiss sana natamani nikusaidie hayakuwa matarajio yako lakini pambana tu labda Mungu atakuona na atakusaidia mana umeoa jini...mke hata ndugu hataki!!!
Umewahi kushuhudia akiwala?maana nina jamaa ana mademu kibao lkn hawali(sio mzima)Anademu wake nasii mmoja mie ndio namfichia siri zake nakutunga story za uongoo.
Hajawahi kunichezea nawala hakudhamiria
Mkuu it's very possible to keep the friendship even after marriage, Muhimu Ni respect na understanding on both sides. Kama mke anaisecurities zake lazima ataona rafiki Ni threat na rafiki akimzarau mke just because amekuta wakiwa friends already hiyo pia Ni mbaya.Wewe mumeo akiwa na urafiki wa karibu sana na mwanamke mwingine utakuwa comfortable? I mean, watoane out bila wewe kujali, wasafiri pamoja bila uwepo wako, kifupi wawe na ukaribu ambao hutajali hata kidogo, can you?
Urafiki unaousema hapa ni wa me na ke kabla yoyote hajaingia kwenye ndoa, mmoja akishaingia kwenye ndoa that friendship has to be reduced to almost "no friendship", unless hunipendi mume.
Umeulizwa wewe usitolee mifano watu wengineMkuu it's very possible to keep the friendship even after marriage, Muhimu Ni respect na understanding on both sides. Kama mke anaisecurities zake lazima ataona rafiki Ni threat na rafiki akimzarau mke just because amekuta wakiwa friends already hiyo pia Ni mbaya.
Waliokuwa wanafatilia keeping up with the Kardashians, Kim anarafiki yake wa kiume Jonathan cheban tangu wakiwa wadogo, kaolewa ndoa ya pili, ya tatu anayodivorce na Kanye Jonathan is still there and Always very close.
Ndiooo tena wanampigania navisu balaa ila mie wai hajawahi labda ndotoniUmewahi kushuhudia akiwala?maana nina jamaa ana mademu kibao lkn hawali(sio mzima)
Aisee huyu mtu niliwahi kuwa naye. Yani ilikuwa ni furaha kumwona na yeye kuniona. Kila linalonihusu wa Kwanza kujua yeye na vivyo hivo Kwa upande wake linalomtatiza lazima aje kupata Amani kwangu. Kuna wakati alikuwa akija analia lakini baada ya kuongea naye anatulia na kupata amani kabisa anasahau yaliyomsibuHabari zenu wakuu,
Nimemkumbuka kaka fulani tulikuwa marafiki sana tangu nikiwa secondary. Kwa miaka 10 alikuwa mtu wangu wa karibu sana, mshauri wangu kwenye kila Jambo.
Kiasili Mimi ni introvert, sipendi mashost, mashoga wale wakunijua kiundani. So kuwa na this guy ambae nlikuwa namwambia issue zangu ilinifanya niwe na amani sana atleast I have someone wakusikiliza matatizo yangu when I'm down.
Tulikuwa marafiki, kila mtu was so free and open kwa mwenzake. Akiwa na stress za Kazi, maisha au mahusiano atanipigia nimpe ushauri. Akipata msichana lazima aniulize unamuonaje huyu.
Nilikuwa nikiwa hata na stress za mahusiano au maisha, hata kama ni usiku wa manane nitampigia atapokea. Sometimes ninauchungu na hasira nikimpigia akipokea tu naanza na yowe nalia hapo atanibembeleza nikitulia naanza kumwadithia kilichojiri.
Alikuja kuoa later, Wife wake akaanza kumind urafiki wetu wakati kiukweli hatukuwa na cha zaidi. We spoke about it na niliamua tusitishe ukaribu wetu, Mke wake awe na Amani.
I really miss you Rafiki.
Ulikuwa unampendaAisee huyu mtu niliwahi kuwa naye. Yani ilikuwa ni furaha kumwona na yeye kuniona. Kila linalonihusu wa Kwanza kujua yeye na vivyo hivo Kwa upande wake linalomtatiza lazima aje kupata Amani kwangu. Kuna wakati alikuwa akija analia lakini baada ya kuongea naye anatulia na kupata amani kabisa anasahau yaliyomsibu
Ila shida ilitokea baada ya kumaliza shule kila mtu akaenda njia yake yy akaenda chuo fulani bagamoyo kazi ikabaki mi ndo namtafuta tu na wala sikuchoka kwa jinsi nilivyokuwa namkubali. Nikawa namtafuta kama kawaida ili anisaidie yanayonisibu akawa anadai yuko busy tuu kila siku. Hali hiyo iliendelea hadi nikaona hana mpango wa kunidumisha ktk maisha yake.
Sikuwahi kuwaza kumpoteza Yule dada katika maisha yangu na kila liliponijia wazo hilo nilikuwa naumia sana Kwa hiyo nilikazana sana kumtafuta lakini nilikosa ushirikiano wake nikaanza kuushawishi moyo ukubali kwamba nimempoteza...nakumbuka siku Ile nililia sana kwamba nampoteza mtu muhimu kwangu sijasahau hadi leo!
Huenda leo ningekuwa mtu wa huzuni sana kama nisingepata mke rafiki! Namshukuru Mungu alinijalia kumpata mke ambaye ni rafiki yangu haswa na hivyo sijawahi kumkumbuka.
Umemkuta mumeo na rafiki wa kike au unaongea nadharia tu? Let's be realistic jamani, hii kitu ni ngumu ku-maintain watu wakiingia kwenye ndoa. Kila mtu anatamani kuwa na mtu wake peke yako...Mkuu it's very possible to keep the friendship even after marriage, Muhimu Ni respect na understanding on both sides. Kama mke anaisecurities zake lazima ataona rafiki Ni threat na rafiki akimzarau mke just because amekuta wakiwa friends already hiyo pia Ni mbaya.
Waliokuwa wanafatilia keeping up with the Kardashians, Kim anarafiki yake wa kiume Jonathan cheban tangu wakiwa wadogo, kaolewa ndoa ya pili, ya tatu anayodivorce na Kanye Jonathan is still there and Always very close.
We are on different pages.You also have to Learn to keep distance and respect other people marriages. Not because you are a hoe ...because its not wise and its not elegant to be a third person in other people business.
Use that same energy to narture your relationship with your man it will pay off big-time. Soon you will become his best friend too.Dont keep wasting your precious time trying to be appreciated with other people husbands.
Hopefully wia togeza