Ilikua zamani hiyo. Siku hizi tunampenda yoyote, akigoma tunamshawishi akikwepa tunamlazimisha dadadeque zake kwani aliinunua?Kuna msemao mpende akupendae asiyekupenda achana nae
Je ulishawahi kutumia nguvu na bidii kumuonesha mpz wako unampenda sana na unamjali sana lakini yee akawa hana habari na ww
Kuna demu mmja nilikuwa nmkabali Sana ;ila Kila nikimuita gheto anazingua
Ila pesa ananikamua Sana ;
Mwish wa siku akanambia ana mtu ake ,
Akabidi ni salende tu
[/QUOTE
Ungemuambia basi akurudishie chenji.
Uzembe huoKuna demu mmja nilikuwa nmkabali Sana ;ila Kila nikimuita gheto anazingua
Ila pesa ananikamua Sana ;
Mwish wa siku akanambia ana mtu ake ,
Akabidi ni salende tu
Imeisha ioHuwezi lazimisha ingia moyon mwa mtu..
Ukioona haekei kimbia
Salende 😂😂Kuna demu mmja nilikuwa nmkabali Sana ;ila Kila nikimuita gheto anazingua
Ila pesa ananikamua Sana ;
Mwish wa siku akanambia ana mtu ake ,
Akabidi ni salende tu
Kukwambia ana mtu wake siyo sababu ya kusalenda huyo alikuwa ana kutatisha tamaaa ili kukuona msimamo wakoKuna demu mmja nilikuwa nmkabali Sana ;ila Kila nikimuita gheto anazingua
Ila pesa ananikamua Sana ;
Mwish wa siku akanambia ana mtu ake ,
Akabidi ni salende tu