Duuh ukaamu ufanye kweli sasa...!! Haa ha... we noumahMara nyingi sana. Ila moja ambayo sitakuja kusahau ni pale niliposingiziwa kuwa nina mahusiano na dada mmoja aliyekuwa mfanyakazi mwenzangu wakati huo. Na aliyezusha hilo ni boyfriend wake.
Ilibidi nifanye kibingwa baada ya kupita siku na mgogoro huo kukuzwa na kuniuma sana. Nilimwomba yule dada akanielewa ikabidi tuanze maisha ya uhusiano.
Ananipenda hadi leo japo nimeoa naye anaye mchumba ambaye yuko Ughaibuni kwa sasa.
Mungu tu anisamehe kwa hilo
PoleMara nyingi sana. Ila moja ambayo sitakuja kusahau ni pale niliposingiziwa kuwa nina mahusiano na dada mmoja aliyekuwa mfanyakazi mwenzangu wakati huo. Na aliyezusha hilo ni boyfriend wake.
Ilibidi nifanye kibingwa baada ya kupita siku na mgogoro huo kukuzwa na kuniuma sana. Nilimwomba yule dada akanielewa ikabidi tuanze maisha ya uhusiano.
Ananipenda hadi leo japo nimeoa naye anaye mchumba ambaye yuko Ughaibuni kwa sasa.
Mungu tu anisamehe kwa hilo
Si kwako tu,uongo unauma zaidi hasa kama hauna uhusiano wowote wenye uhalisia na uzushi huoPole
Hakuna kitu kinaumiza kama kusemewa uongo, ingawa wengi husema ukweli unauma, kwangu uongo huniumiza zaidi.
niliamua tu ili asirudi tenaDuuh kweli huna au ulikuwa unamchora!??
Aisee kuna ndugu ni ishu...!! Me nkiwahi kwenda kwa ndugu yangu nkaibiwa pesa lakini sikutaka kusema kitu ili nisije leta sintofahamu pale kwao afu nlikuwa mgeni...Nilisingiziwa kuiba na mtoto wa kaka angu ,japo alinizidi umri...
kaka angu (Mtoto wa mama mkubwa) ana uwezo hasa.
Tulikua na mama na wifi yangu
sasa tukawa tumeenda kwa sherehe kwao, baada shuguli kwisha ndio ikatokea hio sintmfahamu hela imepotea tena ef10 tu...
aisee walinishupalia mno kuwa nmeiba ,niliumia sana sana....
nilijiskia dhihaka mno...
yani nilijipa maswali, bila majibu,kwasababu mama angu masikini labda ndio maana wanaona mm ndo nastahili kuiba.aisee nilisononeka sana.
baada ya mda wakaja kugundua alieiba ni mdogo wake,wakaja tukaombana msamaha nikasamehe ila sitasahau kwakweli,na uyo dada alimaliza chuo akaishia kuwa malaya tu ,huyo dogo mwizi hadi leo...
pamoja na pesa alizonazo baba yao watt washenzi mno
mama regina hamuachi atembee peke yake yuleMie nina hasira sana watu hadi leo wananisingizia eti EDWARD LOWASA "ni mtu wangu" ila basi tu, itabidi sasa nifanye kweli