Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 20,590
- 44,411
Nikiwa na haraka huwa natamani itokee daladala nyingine ili waanze kukimbizana mimi niwahi zangu.
niliongea kawaida tu,no one supported me
ahsantePole
Unatuaibisha member wa jf wote tuna tumia gari why huna gari lako
Ni kweliHuwa nawahurumia Watu wa hivyo.
Huko japani kwenyewe (muingizaji mkubwa) magari yanakozaliwa watu wanatumia commuter buses sembuse huku pangu pakavu.?!
Tena taarifa za kitafiti zinaonesha faida za kutumia usafiri wa umma ni nyingi kuliko binafsi.
Kuna kipindi niliwahi kupanda daladala kutoka mawasiliano hadi kunduchi nilitumia dakika zisizopungua kumi kutokea simu 2000 hadi mtongani.Kuna muda ni vyema kuyakubali mabadiliko ili kileta tija na ushindani katika sekta zetu za maisha,wakati mwengine akili ya binadamu ipo based on benefits bila ya kucompare athari ya hatua anazozichukua.
Jana nimepanda daladala ya kutoka mbezi - Karikoo mida flani ya saa 7, kulikuwa na gari 2 aina ya costal zinakimbizana sijui changamoto hua ni aboria au kuwahi kituoni.
Mpaka nafika to my destination kichwa na kiuno vilikua kwenye maumivu makubwa,nashindwa kufahamu hawa jamaa wanawaza nini hasa wawapo barabarani.
Nimejikuta nakumbuka akili mnemba naona ni ahueni waingie kwenye soko la daladala ili kudhibigi ujinga huu wa akili za kibinadamu.
walamsiki
AI it like computer system does have feeling or think is just programm,when you recommand it to specific function it does.Akili mnemba? Kwa akili za grok kule Twitter akikabidhiwa daladala atatukana abiria wote na atawamwaga..!!