Young Nas
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 372
- 636
Mama"Makoooo kaa kulee shughurii haikuhuusii hiiii bwegeeee.....Mbinguni tunaenda kwa IMANI, hivyo bila shaka ili upafahamu unapaswa kuwa na imani..
Unaweza kupitia kifungu hiki kama mwanzo kabisa wa wewe kupajua mbinguni..
Mwanzo 19:24
Ndipo BWANA akanyesha juu ya Sodoma na juu ya Gomora kiberiti na moto toka mbinguni kwa BWANA.
Ukisoma vizuri hapo juu, Utagundua mbinguni ni kwa BWANA.. na toka huko mbinguni BWANA alinyesha kiberiti na moto juu ya SODOMA na GOMORA.
Lakini pia hebu tizama hapa;
Isaya 66:1
BWANA asema hivi, Mbingu ni kiti changu cha enzi, na dunia ni mahali pa kuweka miguu yangu; mtanijengea nyumba ya namna gani? Na mahali pangu pa kupumzikia ni mahali gani?
BWANA anasemaje kupitia kinywa cha nabii Isaya? ANASEMA HIVI... "MBINGU NI KITI CHANGU CHA ENZI"... Bila shaka unafahamu Matumizi ya KITI, kiti ni kwaajili ya KUKALIA/KUKETI.
HIVYO BASI... KWA MJUMUISHO TOKA KWENYE MAFUNGU HAYO MAWILI UTAFAHAMU YAFUATAYO JUU YA SWALI LAKO.
Mbinguni ni wapi?
1.Mbinguni ni SEHEMU AMBAYO MUNGU HUKETI/ANAKAA...
2.Mbinguni ni SEHEMU AMBAYO KAZI YA MUNGU HUANZIA/HUFANYIKA.
Sote kwa pamoja tunapaswa kupigania nafasi ya kwenda kukaa na MUNGU huko Mbinguni, NAFASI HIYO HAIPATIKANI ISIPOKUWA KWA TOBA, NA KUTENDA MEMA YA KUMPENDEZA MUNGU..
NARUDIA, TUBU ILI UPATE NAFASI YA KWENDA MBINGUNI, kwa maisha ya kidunia tunasema WAHI NAFASI NI CHACHE...
"Sote tumetenda dhambi Tutubu na Kurejea Kwa Mungu"
JE UMEELEWA KAKAANGU?
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app