Bajaji dodoma
Member
- May 8, 2021
- 31
- 61
Story ndefu mkuu... Ila inshort sista alikua mgeni mjini mishale Kama sa kumi hivi inaenda kumi namoja Kuna abiria namshusha airport pale Dom achkue flightIlikuwaje?
ile nimemaliza kulipia kule risiti ya parking niazama kwenye chuma piga stata gia namba Mona mdgo mdgo nakunja Kona pale nielekee getini nisepe zangu gafla napigwa mkono na bidada kwenye ile reception nje pale nikala kamba huku mouoni nasema yes indeed irudi napiga hela hapa....
Bidada kanichangamkia oh sikutegemea Kama ntakutana na Bajaj hapa na tax nshachoka Sana I want to see the city na Bajaj ndo natainjoy zaidi... Nilivoona ung'eng'e mwingi mzee nikiaona sio kesi ngoja na mm nikumbushie na changu Cha kuombea mma....
Nikamjibu dn worry madam am at ur service uko kwenye mikono salama... Akajibu okay twende nimefanya booking Elodge unapajua ? Nikamjibu chap tu hakuna sehemu nisiyoijua Dom hichi ni Kijiji changu japo kwemu ndo jiji akacheka pale bas mzee baba nikang'oa nanga...
Haooo chako n chako mara mataa cbe shabiby nikala Kona chaduru hi hapa nikala Kona tukacha ndani Elodge... Nikashusha begi pale akaniambia niskilizie kdgo tu najimwagia fasta nikatafte coffee niangalie jiji la dodoma... Nikamwambia POA nakuskilizia....
Dk Kama 15 Dada katoka kaiva kinoma Yani kabadilika mno Mana mwanzo alikua amekaa kicorporate corporate flani hivi Yani amedress to show power not to kill.... But this time katoka akiwa kavaa kukaribisha flani ivi Yani nikazuga nimemsahau pale nikamsifia sifia nn na kumwbia wagogo leo hawochomoki kwa pigo hizo...
Oya ngoja ning'ate kichwa kwanza ntarudi kumaliziq