Vicenza
JF-Expert Member
- Oct 5, 2019
- 969
- 1,464
hawa ndio mabaharia mapacha wenye roho ngumu na maamuzi magumuNilivyo mla demu wa mwana.....inaendelea...
Kabla sijaendelea zaidi niweke tu wazi kuwa huyu ninyemuita mwana alikuwa ni zaidi ya mwana...urafiki Wetu haukuanzia Mbali sana (tulianza kuwa marafiki mwaka wa kwanza Chuo) ila tulishibana mapema sana. Mwana alikuwa ni Mtoto pekee wa kiume kwao akiwa na Dada zake 4. Yeye alikuwa ni wa 3 kuzaliwa. Wazazi wake wote walishatangulia mbele ya haki...kwa hyo alikuwa ni mtu anayehitaji rafiki genuine na hilo nilijaribu kulifullfill...Kuna wakati alikuwa na issues na dada zake na kwa kiasi kikubwa mimi ndo nilimaliza zile issues wakarudi kuwa Sawa.... alikuwa ana uhakika 100% kuwa mimi sio mnafiki kwake...kama kitu ni nyeusi nilikuwa namwambia ni nyeusi na kama ni nyeupe namwambia ni nyeupe kwa hyo kulikuwa na respect kubwa sana kati yetu...Dada zake walikuwa wanampenda sana sana (dada yake wa mwisho alikuwaga anamwita baba...hahahaaaaa)ila mwana na yeye alikuwa na issues nyingi tu na dada zake na nyingi zilikiwa hazina hata mashiko...Sijui ni kwa vile alikuwa Mtoto pekee wa kiume sijui.. Kwa hyo jamaa alikuwa mwana kweli kweli.
Basi bwana baada ya kumla yule demu ile kitu ilininyima sana Amani ya moyo. Nikawa ninajiona kama nimemkosea sana mwana. Cha ajabu yule demu akawa anazidisha mazoea na mimi ila hakukata mawasiliano na mwana. Mwana anaendelea kula mzigo na kila akitoka kula lazima nijue. Kwa vile mimi nilikuwa mwizi sikuwa najali sana.
Nakumbuka ilikiwa ijumaa..yule demu akanitext..kesho saa nane tukutane sehemu fulani nataka nikakudatishe...nakamuuliza huendi job,??akajibu nimeomba ruhusa kwa ajili yako...wakati nipo najadili kuhusu kwenda au kutokwenda akaja mshikaji Wetu mwingine nikawa nimemwelezea Kuhusu yule demu nikamwanyosha na ile text...jamaa akaniambia acha ufala wewe nenda kale mzigo kwani mwana anajua..nikamwambia hajajua bado. Basi akaniambia nenda ukale mzigo ila jitahidi mwana asijue maana itamuumiza sana.
Jumamosi saa nane nikasogea sehemu nikamkuta demu kashafika..baada ya kupeana hi swali lililofuata ni..umekula...nikajibu bado..basi tukaingia sehemu nikapata menu ya nguvu na kulipiwa nikalipiwa.. Baada ya hapo tukasogea Zetu lodge...wakuu naomba tu muamini kuwa ages are nothing but a number...yule Mtoto alikuwa btn 19 and 22 lakini vitu alivyonifanyia katika ufuska Wangu wote sijawai fanyiwa vitu kama vile na mwanamke..japokuwa nilishakula wnawake wengine wananizidi hata umri. That chick was bad in bed..ila na mimi nilikuwa bad vile vile maana ndo nilikuwa kwenye mid 20s' kwa hyo nguvu zilikuwa bado zipo sana. Ilipigwa the baddest show mpaka kama mida ya saa Mbili usiku demu akaniambia inabidi niondoke maana alikuwa bado anakaa kwao. Wakati tunaelekea kituoni akaniambia ulichofanyiwa Leo mwana Wako hajawai fanyiwa hata nusu ila kuna siku na yeye atafanyiwa....mzee baba sikuwa hata na la kusema maana nilikuwa simmalizi yule Mtoto.
Nikawa kama nimekata mawasiliano kiaina na yule demu ingawa yeye alikuwa ananitext sana tu..siku moja akanitext...kesho naenda kumdatisha mwana. Kweli kesho yake mwana akaniaga kuwa anaenda kula mzigo..kurudi mwana alikuwa na mabadiliko sana maana alikuwa ana furaha isiyo ya kawaida. Baadae akaanza kupanga mipango Kuhusu yule demu..siku moja tupo tunapiga story akaniambia...mwana nikimaliza Chuo nikipata job tu mshahara Wangu wa kwanza nampeleka yule demu Chuo. Moyoni nikasema haiwezekani...kimsingi sikuona kama Yule demu anafaaa kuwa mke wa mwana.
Siku moja nikamtext yule demu...vp Sasa huo mzigo sili tena..akacheka akaniambia..wewe si ulinipotezea..nikamwambia lini Sasa...akajibu ntakuambia. Siku ya siku akanistua kesho tuonane basi...MZEE baba nikaenda nikala mzigo..ile anataka kuondoka nikamwambia hv unajua mwana ana mipango mikubwa mikubwa juu yako..akaniuliza mipango gani??nikamwambia anataka akishapata job akupeleka Chuo. Demu akacheka sana akaniambia kama Chuo nimeshakusanya hela yangu ya kutosha na mwaka kesho ndo naenda Chuo cha ualimu...akanielezea jinsi gani huwa anapiga magep Kwenye duka analofanya Kazi. Mwishowe akaniambia nikuambie tu ukweli N mimi siwezi kuwa mke Wako wala mke wa mwana...nyie tutaishia kutombener tu. Akasema na hili kumkatisha tamaa mwana ntamwambia kuwa nilishatembea na wewe. Akasema mume Wangu nitampata baada ya kumaliza Chuo mwakaniiiii..kwa kifupi yule demu alikuwa na guts za kutisha
Basi mimi nikamwambia wewe usimwambie mwana Kuhusu mimi..nitamwambia mwenyewe..niliwaza tu jinsi mwana ambavyo ameshazimika kwa yule demu angemwambia labda wakiwa room wawili mwana angeweza kuua. Basi bwana kurudi Chuo kila tukipiga story na mwana...mwana Lazima aongelee mipango na yule demu. Siku moja katika maongezi ya yule demu nikamwambia mwana...mwana eh...nikuambie kitu,,akasema niambie nikamwambia...yule demu hafai kuwa mke Wako...mwana akaniuliza kwa nn??nikamchana live kuwa yule demu nilishamla tena sio mara moja. Mwana hakuamini alichokuwa anasikia...akacheka akaniambia au unamtaka nn kwa hyo unakuja na hyo gia.. Nikamwambia hapana we Amini tu kuwa nimeshamla yule demu. Akaniuliza ulimpataje wakati huna hata Namba yake..nikampa simu yangu nikamwambia ebu piga Namba yake...yule demu nilimsave KUKU wa KIENYEJI..
Hapo mwana akaanza kuamini...ili kumuaminisha zaidi nikamuonyesha ile text demu aliyoniandikia akanidatishe na ile aliyoniandikia anaenda kumdatisha mwana. Mwana alipomaliza kusoma zile text akanirudishia simu akaondoka. Basi bwana tukikaa kama week Mbili hv mwana hataki kuongea na mm zaidi ya salamu tena kwa shida. Iilifika muda mpaka kama tupo Kwenye story na wshikaji nikichangia jambo mwana anacriticise kwa nguvu sana kitu ambacho hakikuwa cha kawaida mwanzoni Ilifika wakati washikaji wengine wakahisi kuwa kuna kitu hakiko Sawa kati yetu. Kwa upande wa yule demu mwana akawa ameshamtumia text mbaya sana ila demu alichukulia poa tu...akawa anaziforward kwangu huku anacheka tu. Nikimuuliza unacheka nini ananiambia sasa huyu anachukia nn wakati mimi ni demu wake tu...kwanza anapangaje mipango juu yangu bila kunishirikisha.
Siku moja yule demu akanitext... unajua nini mwana hawezi kuniacha labda nimuache mimi..nikamwambia mbona ameshakuacha tayari...akacheka akaniambia kesho anakuja kula mzigo..kweli hyo kesho mwana mida ya mchana hakuwepo Chuo akarudi usiku. Siku hyo nikaenda chumba cha mwana...nilivyomkuta nikamtania...mwana umetoka kula mzigo nn???mwana akacheka ..akaniambia kalale tutaongea kesho.
Kesho yake mwana akaniita akaniambia ebu nielezee ilikuweje mpaka ukamla yule demu?? Nikamwelezea mwanzo mpka mwisho..mwana akaniambia aisee umeniambia ukweli 100% maana hata yule demu na yy kanielezea hvo hvo na akasema kwa sehemu Kubwa yeye ndo alishawishi aliwe. Basi bwana ugomvi Wangu na mwana ukaisha maana demu alimuhkikishia kuwa hana mpango wa kuolewa na yeye na wataishia kutombener tu. Mwishowe mwana akaniambia demu kasema tukishapatana umpigie maana wewe ndo anakuamini sana. Basi bwana badae nikampigia yule demu nikamwambia niko poa na mwana...demu akafurahi sana...nikapewa tena siku ya kwenda kula mzigo.
Niishie hapa ile ya kumshawish demu tuwe tunamla kwa zamu na hatimaye tukaanza kumla mtungo naomba niiache baharia Wangu.