Ndugu katika Azuma, amani iwe nanyi!
Jana nikajichanganya na hizo confidence za kisenge kwenye duka moja la vipodozi si nikaliomba qhumer limama limoja likubwa, nimetukanwa sana pamoja na kupewa ushauri nirudi katika maadili na misingi ya kitanzania, nimedhalilika sana, i hate, i depise and i take no delight kwa ushauri wenu wa kikumamayo ulionifanya nidhalilike, by the way nipo huku Kigoma kikazi kama kuna mwenyeji wa huku tuchekiane inbox tuonyeshane vijiwe wa Hansons!
Amani isiwe nanyi nyote
ChaiNILIVYOMLA DEMU MUCH KNOW KIZEMBE SANA
Siku moja nipo zangu Road natoka mihangaikoni namuona dada mrembo nikamsalimia akakausha ...so ikapita kama week hivi nikakutana nae maeneo karibu na ninapoishi ,sasa nikamkaushia na sikushoboka kabisa .
Sasa yeye akanipa hi mi nikatingisha tu kichwa..sasa jioni yake naenda zoezi nikqkutana na mdada tumuite Paula .namjua nikampa hi nikqmtania pale akafurahi sasa nafika uwanjani naona simu inaita kucheki Paula nikapokea akasema unamjua Nai (code) nikamwambia hapana aka sema eti ameniuliza kumbe wewe unaongea na unachekaga?? Nikamwambia mpe namba yangu
Nimepigq zoezi nikarudi home nikapika ugali na samaki sasa nimekula ukabaki na kesho nina mishe mingi nikasema subili nitoke nje nikikuta madogo niwaite wale ugali sasa ghafra nikapata wazo nimpigie Paula anipe namba ya yule dada Nai....
Paula akasema namba yangu alimpa labda amkumbushe ili anipigie nikasema poa ...sasa after five minutes namba mpya inaingia ..nikapoke
MIMI.. nani wewe
YEYE..nai rafiki yake Paula
MIMI ...Upo wapi
YEYE... nipo sinza nimefqta chakula
MIMI ...chakula tena ??njoo ule basi hapa geto ugali samaki mi umenishinda ..chukka boda nitalipa....
YEYE poa
MIMI .....nikamielekeza akatimba
Waungwana mtoto ni mtamu balaa na hapa tunavyongea ameendq kwao kucheki mazingira ili aje mazima night yote hiiiiiii......Chakuchekesha anasema naonekana Mpole sana harafu naringa Sanaa...ninadhqrau na najisikia sana....
Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
Mwanangu nimedhalilika sana, nadhani tatizo ni uwaziri mkuumkuu usikate tamaa
Bongo muvi,,,Nilikula kimasihara pisi moja juzi weekend. Niliikuta kitambaa cheupe.
Inafanya kazi benki moja maarufu hapa nchini.
Niliikuta imekaa yenyewe inakula zake savannah. Nikaomba kama naweza join meza. Ikanikaribisha.
Kula zangu Bia laini laini. Kaka nusu saa hivi kila mmoja na simu na vinywaji vyake. Basi nikakata ukimya... Vipi mbona mrembo hivi uko mwenyewe? Hujaja na Shemeji? Alichonijibu sasa,, Shemeji? Wooi!.
Basi nikajua yupo mwenyewe, nikamwambia I'll pay your bill tonight, siyo vizuri binti kama wewe ujilipie mwenyewe na mimi nipo.
Story mbili tatu akanifungukia kuwa msela wake haeleweki, na ameanza kubadilika baada tu ya kupata kazi nono. Before dem ndo alikua akimbeba mwana coz hakuwa na job.
Vyombo hadi sita kasoro akasema anataka ondoka. Nikamwambia nihakikishe amefika home maana alikua amelewa lewa. Basi ita Uber pale nenda hadi **** anapoishi.
Shuka kwenye gari, nikaisindikiza hadi mlangoni... Kabla haijaingia ndani, nikaiambia "can I hug you?" Akakubali, and i hugged her very tight kama sekunde kadhaa hivi. Akili za kimasihara zikanijia, nikasema ngoja nifanye jambo. Nikashika t*ko hakupinga, kiss shingo akashtuka. Akachomoka kwenye hug. Akaniambia Goodnight Mjina. Nikaitikia kishingo upande.
Akafungua mlango kuingia ndani nami nikafata nyuma...
Itaendelea....
Watu wa jf mna maisha magumu yaliyo jaa gundu sana ndio maana kila kitu kizuri kwenu kinatatizo......na upwuru wenu shenzi nyiekaka jeneza lako tuliwekee rangi gani?
utani tu chief na kama umeshindwa kung'amua jambo kama hili...(your sense of humor) ipo chini sana..Watu wa jf mna maisha magumu yaliyo jaa gundu sana ndio maana kila kitu kizuri kwenu kinatatizo......na upwuru wenu shenzi nyie
Me au Ke?Leo tarehe 19/8, saa 9:21 Usiku nimefika mwisho wa uzi wa Kula Tunda Kimasihara rasmi....Sasa ni muda muafaka namm nianze kutumia mbinu kutafuta kimasihara zang nikianza na binamu..
We utakuwa ulitanguliza utoto mwingi 😂Ndugu katika Azuma, amani iwe nanyi!
Jana nikajichanganya na hizo confidence za kisenge kwenye duka moja la vipodozi si nikaliomba qhumer limama limoja likubwa, nimetukanwa sana pamoja na kupewa ushauri nirudi katika maadili na misingi ya kitanzania, nimedhalilika sana, i hate, i depise and i take no delight kwa ushauri wenu wa kikumamayo ulionifanya nidhalilike, by the way nipo huku Kigoma kikazi kama kuna mwenyeji wa huku tuchekiane inbox tuonyeshane vijiwe wa Hansons!
Amani isiwe nanyi nyote
Yaani muache kuwapa kazi/connections watoto wa vigogo wa chama kama kawaida yenu, mje mnipe mimi mtoto wa mlala hoi?Kazi utapata tu
Akili za kuambiwa....Ndugu katika Azuma, amani iwe nanyi!
Jana nikajichanganya na hizo confidence za kisenge kwenye duka moja la vipodozi si nikaliomba qhumer limama limoja likubwa, nimetukanwa sana pamoja na kupewa ushauri nirudi katika maadili na misingi ya kitanzania, nimedhalilika sana, i hate, i depise and i take no delight kwa ushauri wenu wa kikumamayo ulionifanya nidhalilike, by the way nipo huku Kigoma kikazi kama kuna mwenyeji wa huku tuchekiane inbox tuonyeshane vijiwe wa Hansons!
Amani isiwe nanyi nyote
Umeambia akili yako ishindwe na utashindwa kweliYaani muache kuwapa kazi/connections watoto wa vigogo wa chama kama kawaida yenu, mje mnipe mimi mtoto wa mlala hoi?
That's the truth. Kwa niliyopitia last two years, siogopi yeyote wala chochote kwa sasa.Umeambia akili yako ishindwe na utashindwa kweli
Sorry mzee nimerusha kombora kwa mtu sio. Yaani mm ni kama mrusi kwa sasa tangu nifanyiwe ujinga na vijana wa humu hivyo imepelekea mm kuwa hivyo ila mm kiuhalisia sipo hivyo mazingira ya watu wa humu yamepelekea kuwa hivi so kuna wengine nawalipua kwa ujinga wanao uleta na wengine bahati mbaya kama wwutani tu chief na kama umeshindwa kung'amua jambo kama hili...(your sense of humor) ipo chini sana..
nilikua nakutania ila ngja niwe serious sasaa yan mm niwe na chuki na ww kisa ww kufanya uzinzi are you serious bro?
ninakaribia miaka 30 na sijawah mchukia mtu despite ya wao kunitendea ubaya na kunisengenya..sasa iweje niwe na wivu na mtu ambaye simjui
jifunze kua na hekima kijana.
Sorry mzee nimerusha kombora kwa mtu sio. Yaani mm ni kama mrusi kwa sasa tangu nifanyiwe ujinga na vijana wa humu hivyo imepelekea mm kuwa hivyo ila mm kiuhalisia sipo hivyo mazingira ya watu wa humu yamepelekea kuwa hivi so kuna wengine nawalipua kwa ujinga wanao uleta na wengine bahati mbaya kama ww
Kigoma hipi mkuu? Uvinza,ujiji,kibondo/kasuluNdugu katika Azuma, amani iwe nanyi!
Jana nikajichanganya na hizo confidence za kisenge kwenye duka moja la vipodozi si nikaliomba qhumer limama limoja likubwa, nimetukanwa sana pamoja na kupewa ushauri nirudi katika maadili na misingi ya kitanzania, nimedhalilika sana, i hate, i depise and i take no delight kwa ushauri wenu wa kikumamayo ulionifanya nidhalilike, by the way nipo huku Kigoma kikazi kama kuna mwenyeji wa huku tuchekiane inbox tuonyeshane vijiwe wa Hansons!
Amani isiwe nanyi nyote
Daaaah nimecheka kifala sanaaNdugu katika Azuma, amani iwe nanyi!
Jana nikajichanganya na hizo confidence za kisenge kwenye duka moja la vipodozi si nikaliomba qhumer limama limoja likubwa, nimetukanwa sana pamoja na kupewa ushauri nirudi katika maadili na misingi ya kitanzania, nimedhalilika sana, i hate, i depise and i take no delight kwa ushauri wenu wa kikumamayo ulionifanya nidhalilike, by the way nipo huku Kigoma kikazi kama kuna mwenyeji wa huku tuchekiane inbox tuonyeshane vijiwe wa Hansons!
Amani isiwe nanyi nyote