Garmii
Senior Member
- Feb 26, 2011
- 164
- 19
Ktk maisha mtu lazima upitie hatua mbalimbali then ufikie utu uzima,
nakumbuka nikiwa mtoto tulicheza michezo mingi ya heshima tofauti na watoto wa cku hizi mzazi ucpokuwa makini mchezo wao niwa baba na mama!
Michezo tuliyocheza enzi zetu ni pamoja na kuruka kamba,tikiri,mchezo wa kujificha,utengenezaji wa magari hasa wakati wa mavuno,ukutiukutu, kioo kioo alikivunja nani,kujipikilisha.......................
Mingine nisaidieni loh! uzee jamani nimesahau....!!!!!
nakumbuka nikiwa mtoto tulicheza michezo mingi ya heshima tofauti na watoto wa cku hizi mzazi ucpokuwa makini mchezo wao niwa baba na mama!
Michezo tuliyocheza enzi zetu ni pamoja na kuruka kamba,tikiri,mchezo wa kujificha,utengenezaji wa magari hasa wakati wa mavuno,ukutiukutu, kioo kioo alikivunja nani,kujipikilisha.......................
Mingine nisaidieni loh! uzee jamani nimesahau....!!!!!