Ulishawahi Kopwa pesa na Manzi ukachomoa?

Ulishawahi Kopwa pesa na Manzi ukachomoa?

rikiboy

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
22,170
Reaction score
43,976
Aisee hakuna wakati mgumu kama demu anapopata shida alafu akaamini wewe unaweza msaidia akakukopa wewe ukawa huna kituu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Bad experience ever omba yasikukute me nilitamani mpaka kukopa ili nimpe ila nikavunga japo Baada ya hapo alikata mawasiliano na mimi nikampotezeaa...[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
 
Ukweli umuacha mtu huru
IMG_20190530_193357_759.jpeg
 
Aisee hakuna wakati mgumu kama demu anapopata shida alafu akaamini wewe unaweza msaidia akakukopa wewe ukawa huna kituu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Bad experience ever omba yasikukute me nilitamani mpaka kukopa ili nimpe ila nikavunga japo Baada ya hapo alikata mawasiliano na mimi nikampotezeaa...[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Ndo maana mmeshauriwa mara nyingi
mtafute pesa kwanza mapenzi baadaye hamsikii
kwa nini yasiwakute?
 
Mm ilitokea mtoto mmoja wa kishua aliomba nimpe laki na nusu,alafu mzee wake akilejea baada ya week moja atairejesha,nikampa masharti yakamshinda mchezo ukaishia hapo
 
Mm ilitokea mtoto mmoja wa kishua aliomba nimpe laki na nusu,alafu mzee wake akilejea baada ya week moja atairejesha,nikampa masharti yakamshinda mchezo ukaishia hapo
Masharti ya kumlaa nin mkuu???
 
Back
Top Bottom