Hakuna kitu kinaumiza kama mkiachana harafu mwenzio alete madoido.
Je, wewe ilikuwaje mlivyo achana.
Rejea STAN BAKORA alicho sema yeye.
Alirudisha mkuu! Nilimpokonya 😂Mtag arejeshe
Kwanza kuisasambua mbususu yake ni zawadi tosha kwake yeye.Hua simpi mwanamke kitu cha maana kwahiyo ata tukiachana hamna cha kurudisha.
Wewe una protocol kama yangu.Hua simpi mwanamke kitu cha maana kwahiyo ata tukiachana hamna cha kurudisha.
Huo ni umasikini na kua na roho mbaya kwani kuachana nikama ajali nikama kufa, huwezi kukata kujenga nyumba yako kwa kwasabb eti utakufaWewe una protocol kama yangu.
Huwa nampa mwanamke vitu vyenye thamani ndogo ambavyo hata tukiachana haviniumizi.
Mwanamke usimnunulie vitu vyenye thamani kubwa kama kiwanja,nyumba,gari kwani baadae mkiachana utaumia sana ukimuona anatanulia na wanaume wengine.
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Wewe una protocol kama yangu.
Huwa nampa mwanamke vitu vyenye thamani ndogo ambavyo hata tukiachana haviniumizi.
Mwanamke usimnunulie vitu vyenye thamani kubwa kama kiwanja,nyumba,gari kwani baadae mkiachana utaumia sana ukimuona anatanulia na wanaume wengine.
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Mkuu iko hivi,mapenzi huwa yanaanzia kwenye saikolojia yako.Hivi mpaka mtu unafikia kumnunulia mwanamke gari, nyumba nk anakua amekupa nini hasa chenye thamani kiasi hicho? Aisee mimi bado sijakutana na mwanamke wa kumhonga hata simu tu..
Nipe mimi badala yake nitamfikishiaSeriously Nilitaka kumrudishia akakataa!!
Na mwanamke unayemjengea nyumba kisha baadae anakukimbia na kwenda kuitumia na mwanaume mwingine hiyo sio roho mbaya?Huo ni umasikini na kua na roho mbaya kwani kuachana nikama ajali nikama kufa, huwezi kukata kujenga nyumba yako kwa kwasabb eti utakufa
Hahahahaha.. amekataa katakataNipe mimi badala yake nitamfikishia