stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 18,972
- 14,752
huyo mlevi muuaji ..
Pole Sana mkuuUwanja unatusaidia nini?
Mbona anaishi kama digidigi , msafara gari zinakimbia speed kali na helicopter zipo juu... Ni suala la muda..
nioneshe nchi iliopata uhuru miaka 60 iliyopita isiyokuwa na changamotoKwa nchi ambayo toka ipate uhuru zaidi ya miaka 60 iliyopita bado hakuna huduma muhimu kama za afya, maji, barabara, elimu duni na huku zaidi ya nusu ya wananchi wakiishi chini ya mstari wa umaskini viwanja kama hivyo ni kuonyesha tu ni kwanini hizo huduma tajwa bado ni duni kiasi hicho.
Nchi bado hata haijui ni nini vipaumbele vyake. Tuna watawala ambao wanafurahia sana kuwa madarakani lkn uwepo wao madarakani hauna manufaa yoyote kwa wananchi.
ni wa afcon lazima ukamilike before 2026, ila kuna huu mwinginehuu uwanja unaenda kasi sana
enhee ebu tuelezee zaidiKwa nchi ambayo toka ipate uhuru zaidi ya miaka 60 iliyopita bado hakuna huduma muhimu kama za afya, maji, barabara, elimu duni na huku zaidi ya nusu ya wananchi wakiishi chini ya mstari wa umaskini viwanja kama hivyo ni kuonyesha tu ni kwanini hizo huduma tajwa bado ni duni kiasi hicho.
Nchi bado hata haijui ni nini vipaumbele vyake. Tuna watawala ambao wanafurahia sana kuwa madarakani lkn uwepo wao madarakani hauna manufaa yoyote kwa wananchi.
Hakuna nchi duniani isiyokuwa na changamoto ila zinazidiana. Tanzania kwa hali yetu ilivyo kama tungekuwa na serikali tofauti na hii changamoto ambazo tungekuwa nazo zisingekuwa nyingi kiasi hichi ikiwemo kiwango cha umaskini kwa wananchi.nioneshe nchi iliopata uhuru miaka 60 iliyopita isiyokuwa na changamoto
umaskini unahusiana vp na serikali, ukishindwa kutoka kwenye umaskini hilo ni lako serikali mdai sera na miundo mbinuHakuna nchi duniani isiyokuwa na changamoto ila zinazidiana. Tanzania kwa hali yetu ilivyo kama tungekuwa na serikali tofauti na hii changamoto ambazo tungekuwa nazo zisingekuwa nyingi kiasi hichi ikiwemo kiwango cha umaskini kwa wananchi.
Sera mbovu na miundombinu mibovu inachangia sana watu kutokupata maendeleo pamoja na ufisadi uliokithiri.umaskini unahusiana vp na serikali, ukishindwa kutoka kwenye umaskini hilo ni lako serikali mdai sera na miundo mbinu
sera gan mbovu inakuzuia wewe kutoka kwenye umaskini? au miundo mbinu gan imekuzuia, wenzako wamekuaje matajiri?Sera mbovu na miundombinu mibovu inachangia sana watu kutokupata maendeleo pamoja na ufisadi uliokithiri.
Ukiwa chawa huwezi kuona hayo kwani chawa hana tofauti na mtu mwenye imani kali ya kidini.
Kwa hiyo mtu kama Rostam anayetumiwa na watawala mafisadi baada ya kufanya ufisadi kwenye ile kashfa ya EPA 2005 unaweza kutuambia kwamba amepigana kuupata utajiri wake.sera gan mbovu inakuzuia wewe kutoka kwenye umaskini? au miundo mbinu gan imekuzuia, wenzako wamekuaje matajiri?