Steve Rogers JF-Expert Member Joined Jun 20, 2026 Posts 295 Reaction score 536 Sep 3, 2026 #21 Mambo yashakuwa mengi.
G Girl Poet Senior Member Joined Sep 5, 2025 Posts 147 Reaction score 348 Sep 3, 2026 Thread starter #22 TANESCO said: Habari ndugu mteja, asante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto hiyo, tafadhali tupatie taarifa zifuatazo kwa msaada zaidi, Jina Mkoa Wilaya Eneo Namba ya simu Kitu maarufu karibu na wewe.^CM Click to expand... Thanks for responding. Nimeambiwa utarudi saa kumi, usiporudi ntakupa taarifa zaidi for further assistance.
TANESCO said: Habari ndugu mteja, asante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto hiyo, tafadhali tupatie taarifa zifuatazo kwa msaada zaidi, Jina Mkoa Wilaya Eneo Namba ya simu Kitu maarufu karibu na wewe.^CM Click to expand... Thanks for responding. Nimeambiwa utarudi saa kumi, usiporudi ntakupa taarifa zaidi for further assistance.
TANESCO Official Account Joined Jul 12, 2014 Posts 4,837 Reaction score 2,331 Sep 3, 2026 #23 Girl Poet said: Thanks for responding. Nimeambiwa utarudi saa kumi, usiporudi ntakupa taarifa zaidi for further assistance. Click to expand... Ndugu mteja tunakutakia wakati mwema, Ukisubiri huduma.^MY
Girl Poet said: Thanks for responding. Nimeambiwa utarudi saa kumi, usiporudi ntakupa taarifa zaidi for further assistance. Click to expand... Ndugu mteja tunakutakia wakati mwema, Ukisubiri huduma.^MY
Kadhi Mkuu 1 JF-Expert Member Joined Feb 4, 2015 Posts 22,472 Reaction score 28,275 Sep 3, 2026 #24 Girl Poet said: Jamani umeme umekatika kila mahali ama ni huku madongo kuinama tu? Nauliza maana it's been a while tokea umeme ukatike usiku alafu usirudi ndani ya muda mfupi 😵 Click to expand... Huu Pemba unakatika na kuwaka mara 24 kwa siku. Yaani kama disco lights.
Girl Poet said: Jamani umeme umekatika kila mahali ama ni huku madongo kuinama tu? Nauliza maana it's been a while tokea umeme ukatike usiku alafu usirudi ndani ya muda mfupi 😵 Click to expand... Huu Pemba unakatika na kuwaka mara 24 kwa siku. Yaani kama disco lights.