Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Amen mkuu..
Atusadie sote!
Amen mkuu..
Hongera madame, tupambane diaMie ndo napambana nipate mtaji
Hakika mamy, mimi naamini nitatoboa tuu!
Hakika mamy, mimi naamini nitatoboa tuu!
Ni kweeli kabisaaa my dear... Nikipata mtaji nitakujulisha.. Ila nahakikisha kwenye salary naweka kiasi fulani kila mweziAmina, kutoboa ni lazima kwa mtu anayejituma just a matter of time tu
Sent using Jamii Forums mobile app
AmenMungu awasaidie wote wanao tafuta mitaji,pia wanao taka kukuza mitaji yao; Mungu ni mwaminifu
Ok sicyNi kweeli kabisaaa my dear... Nikipata mtaji nitakujulisha.. Ila nahakikisha kwenye salary naweka kiasi fulani kila mwezi
Mkuu unaanza na kaduka ka dawa muhimu, dika litakua utafika tu huko unapopataka.Tatizo ni kwamba aina ya biashara ambayo naitamani ni kama uwezekano wa kuanza mdo mdo ni mdogo, mfano vifaa vya ujenzi au phamarcy, hizi lazima uwe na frem ambayo gharama yake is not less than 300k, kwa jinsi ambavyo dawa na hizi materials zipo naanzaje taratibu? Msaada
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo simple hivyo mkuu, frem nyingi mjini sehemu nzuri si chini ya 250-30k, alafu unatakiwa ulipie kwa mwaka almost milion 3-3.5, then kuna ile mtu akitaka akupe frem aondoke lazima umpe m. 2 hadi tatu hiyo kuachia tu ujajumlisha kodi hiyo hapo juu, ujaitengeneza katika hali unayotaka wewe kulingana na aina ya biashara kwa harakaharaka matengenezo na hizo kodi haiwezi kupingua 5m. Njoo kwenye kuagiza mzigo sasaMkuu unaanza na kaduka ka dawa muhimu, dika litakua utafika tu huko unapopataka.
Uko sawa lakini sio lazima uanzie mjini.Siyo simple hivyo mkuu, frem nyingi mjini sehemu nzuri si chini ya 250-30k, alafu unatakiwa ulipie kwa mwaka almost milion 3-3.5, then kuna ile mtu akitaka akupe frem aondoke lazima umpe m. 2 hadi tatu hiyo kuachia tu ujajumlisha kodi hiyo hapo juu, ujaitengeneza katika hali unayotaka wewe kulingana na aina ya biashara kwa harakaharaka matengenezo na hizo kodi haiwezi kupingua 5m. Njoo kwenye kuagiza mzigo sasa
Hapo wengi ndo tunakwama, so kwa biashara ya kawaida angalau uwe na kuanzia 10M. Wazoefu wa biashara mjini mnikosoe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sahihiUko sawa lakini sio lazima uanzie mjini.
Unaweza toka nje ya mji gharama zote zitakuwa ni ndogo halafu mtaji ukikua unahamia mjini na hizo hela.
Uko sawa lakini sio lazima uanzie mjini.
Unaweza toka nje ya mji gharama zote zitakuwa ni ndogo halafu mtaji ukikua unahamia mjini na hizo hela.




Ni kweli kabisa hivyo vitu unavyo vizungumza kwa watanzania tulio wengi hatunaMtaji......
Kuna mitaji miwili mikubwa ambayo Watanzania hawana.
1. Mtaji wa wazo la biashara
2. Mtaji fedha na elimu ya kukuza biashara