kalemauji
JF-Expert Member
- Jun 24, 2014
- 1,440
- 1,397
Kiongozi ilikuchukua muda gani kupata FAO LA kutokuwa na ajira baada ya kujaza na kuwakabidhi fomu zao?Walichonifanya aisee Mungu anawaona yaani unahitaji kusubiri miezi 18 baada ya kumaliza kuchukua fao la kukosa ajira, mbaya zaidi staff wao ni watu wa kuogopa changamoto kwa maana ya kumwambia mtu ukweli yaani mambo yapo hivi na hivi lakini wanakuwa wanakwepa kwepa kama wanasiasa