yuga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2016
- 371
- 255
Husika na mada hapo juu wapendwa, Naomba kuuliza hivi
1. Kujiunga nssf je NIDA ndio mambo yote au unaweza kusajiliwa bila NIDA.
2. Je, hawa NSSF wakija kituoni kwenu kwa kazi wakachukua details zako especialy jina na mshahara kwa watumishi wote je wanao uwezo wa kuwaunga bila NIDA
3. Na je wakikuunga wanauwezo kukukata hela.
Msaada jamani hawa jamaa wanataka kunikata hela na nakusanya niendee kusoma na kutoa mle ni mbinde kwa maswali hayo
1. Kujiunga nssf je NIDA ndio mambo yote au unaweza kusajiliwa bila NIDA.
2. Je, hawa NSSF wakija kituoni kwenu kwa kazi wakachukua details zako especialy jina na mshahara kwa watumishi wote je wanao uwezo wa kuwaunga bila NIDA
3. Na je wakikuunga wanauwezo kukukata hela.
Msaada jamani hawa jamaa wanataka kunikata hela na nakusanya niendee kusoma na kutoa mle ni mbinde kwa maswali hayo