Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 6,706
- 12,446
Mkuu nakutahadharisha kuwa makini na matapeli,Wakuu
Kama mjuavyo dunia ni kutafutana mpaka makazini watu wanavizina. In fact kama huko vizuri unaweza sepa anytime. Najua humu kuna wadau walishapita kwa wataalamu (Waganga) kulinda wasidhuliwe na walimwengu.
Mpaka sisi wakulima ukivuna mazao tu jamaa wanaanza kukufanyia surveying.
Sasa wakuu nimechoka na huu uonezi. Kama kuna mtu anamjua mtaalamu wa kuzindika mtu tupeane taarifa. Hata kama ni Malawi mm nitatimba huko mradi tu niwe salama na hawa washenzi.
NB. Nahitaji mganga mtaalamu wa hizi kazi na sio njia mbadala
Karibuni
Hapa unapikwa tu au sio..Njoo Madibira km 80 toka MAFINGA Iringa, km 85 toka Rujewa Mbarali Mbeya. Ukifika nistue nikupokee nikupeleke, wengi wamepita kwake na hakuna kafara wala kuchanjana machale.
Barafu la moto
Hajui fitina za kazini huyu...Bado mtoto mtogo sana wewe huwezi elewa mambo makubwa. Siku ukikuwa utaelewa kuwa ulimwengu haiko hivyo unavofikiri.
Hahaaaahahahaaha poa jombaa
Ukikosa Kote huko ni pmWakuu
Kama mjuavyo dunia ni kutafutana mpaka makazini watu wanavizina. In fact kama huko vizuri unaweza sepa anytime. Najua humu kuna wadau walishapita kwa wataalamu (Waganga) kulinda wasidhuliwe na walimwengu.
Mpaka sisi wakulima ukivuna mazao tu jamaa wanaanza kukufanyia surveying.
Sasa wakuu nimechoka na huu uonezi. Kama kuna mtu anamjua mtaalamu wa kuzindika mtu tupeane taarifa. Hata kama ni Malawi mm nitatimba huko mradi tu niwe salama na hawa washenzi.
NB. Nahitaji mganga mtaalamu wa hizi kazi na sio njia mbadala
Karibuni
Una Ankara mkuu?Wakuu
Kama mjuavyo dunia ni kutafutana mpaka makazini watu wanavizina. In fact kama huko vizuri unaweza sepa anytime. Najua humu kuna wadau walishapita kwa wataalamu (Waganga) kulinda wasidhuliwe na walimwengu.
Mpaka sisi wakulima ukivuna mazao tu jamaa wanaanza kukufanyia surveying.
Sasa wakuu nimechoka na huu uonezi. Kama kuna mtu anamjua mtaalamu wa kuzindika mtu tupeane taarifa. Hata kama ni Malawi mm nitatimba huko mradi tu niwe salama na hawa washenzi.
NB. Nahitaji mganga mtaalamu wa hizi kazi na sio njia mbadala
Karibuni
Kiongozi naona hii ni tishio sasa!Usipate tabu. Kaka kwanza uko wapi?
Njoo Tanga sehemu inaitwa Maguzoni mbele kidogo ya Hale. Ulizia kijiji potwe. Kukuhakikishia kwamba hatuna mzaha. Tutakurudisha ulikotoka bila wewe kujua hata iwe Mbeya.
Usije na hela ya malipo. Tutayafuata wenyewe baada ya siku 7.h
Wanaua watoto hawa kwa imani zao za kijinga sasa waganga wanawaambia wakatafute mtoto yeyote huyo sio wa kumuacha aishi atakavyo njombe huko watoto wasio na hatia wameuawa kwa sababu ya imani za kijinga kabisa...maisha yenyewe ni kuwa na nyumba na Rav 4 kwangu Mimi huyo na muuza sembe sema wametofautiana matumizi tuu muza sembe anatumia ingawaje nae anaua vizazi...Huyo unaye fikiri hapigi mashuti kumbe ndiyo muendaji mzuri kwa waganga ngoja siku uje umgumie ndiyo utaelewa!
Mwache mtu afanye aonavyo ni Sawa kwake
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaaaaha...!!!, Ndio maana Bro Jr amedundaaa...Watakutapel njoo kwangu nikupeleke kwa mjomba Moro kwisha jeur yaooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu are you serious?Usipate tabu. Kaka kwanza uko wapi?
Njoo Tanga sehemu inaitwa Maguzoni mbele kidogo ya Hale. Ulizia kijiji potwe. Kukuhakikishia kwamba hatuna mzaha. Tutakurudisha ulikotoka bila wewe kujua hata iwe Mbeya.
Usije na hela ya malipo. Tutayafuata wenyewe baada ya siku 7.h
Kuanzia leo nitaanza kugonga ma dem bila kuchojoa...!!Acha hawa unaowaona viongoz wachawi hatar ndo maana wanavaa mashat ya mikono mirefu wanawake tunawatunzia siri
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe jamaa inaonekana unaishi kwa shemeji ako, kwani mtoa maada kasema hatambui uwepo wa mungu? Yeye alichosema anataka kuoneshwa mtaalamu atekayemrekebishia mambo yake, Sasa tatizo liko wapi.?Hizo imani ni za kijinga Mkuu samahani hakuna neno lingine zaidi ya hilo kazi tuu ya kulipwa mshahara unatafuta waganga ukiwa na Kampuni yako na imesimama si utaua watoto narudia tena ni imani za kijinga tuu hizo hata Mali zitokanazo na hizo Mali watu wenyewe wanakua hawana Uhuru nazo kabisa mtu tajiri anaishi maisha ya kimasikini si bora angekua tuu masikini sasa...
Ukerewe sehem gan mkuu,Kama unanauli nenda ukerewe nitakupa shemeji yangu akupike ila shariti lake usigegede manzi akiwa kwenye siku zake,ukigegeda tu inabidi ukapigwe dozi nyingine
Ukerewe sehem gan mkuu,
Sharti rahisi sana hili.Kama unanauli nenda ukerewe nitakupa shemeji yangu akupike ila shariti lake usigegede manzi akiwa kwenye siku zake,ukigegeda tu inabidi ukapigwe dozi nyingine
Mkuu ukipata kipato shukuru Mungu kwa kupata mambo ya kulala kwa shemeji watu ndio njia ya kufanikiwa ila sidhani kama unaweza kufikia kipato kwa baadhi ya miradi yangu michache tuu sidhani...kwa hiyo visenti unavyopata usilete dharau mimi hela nimeanza kupata muda mrefu na nishazizoea ndio maana siwezi kuleta dharau za kwa mtu yeyote nimfahamu au simfahamu na naamini mtu yeyote akiwa na juhudi na maarifa atafanikiwa tuu...Wewe jamaa inaonekana unaishi kwa shemeji ako, kwani mtoa maada kasema hatambui uwepo wa mungu? Yeye alichosema anataka kuoneshwa mtaalamu atekayemrekebishia mambo yake, Sasa tatizo liko wapi.?
Afu wewe hujakutana nayo anayokutana nayo mwenzako, Kama hujawahi kulala njaa huwezi kujua Kama njaa ipo na inatesa!
Kama hujawahi kugongwa na nyoka, huwez shtuka mpaka ugongwe!
Mtoa maada tafadhali ukimpata mtaalam wa ukweli lete mrejesho, huenda ukaokoa wengi humu
Wahanga wa kwamsisi ni watoto wadogo. Wanaringia utaalam wa kumnyoa mtu nywele bila kinyozi kuonekana. Mambo iko Potwe