Mkuu hii hapana mm nataka ulinzi tu sio advertisement hizoUsipate tabu. Kaka kwanza uko wapi?
Njoo Tanga sehemu inaitwa Maguzoni mbele kidogo ya Hale. Ulizia kijiji potwe. Kukuhakikishia kwamba hatuna mzaha. Tutakurudisha ulikotoka bila wewe kujua hata iwe Mbeya.
Usije na hela ya malipo. Tutayafuata wenyewe baada ya siku 7.h
Mi nipo ubaruku mkuu mwaka Jana nlikua uko madibira uyo mtaalam anaitwa nan huenda namjuaNjoo Madibira km 80 toka MAFINGA Iringa, km 85 toka Rujewa Mbarali Mbeya. Ukifika nistue nikupokee nikupeleke, wengi wamepita kwake na hakuna kafara wala kuchanjana machale.
Barafu la moto
Yupo shambani Silyamboga na hafahamiki sana kwasababu hajajisajili kwa kazi hiyo ila anasaidia sana watu wanaofika kwake.Mi nipo ubaruku mkuu mwaka Jana nlikua uko madibira uyo mtaalam anaitwa nan huenda namjua
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakucheck mkuu
Je kwa msisiUsipate tabu. Kaka kwanza uko wapi?
Njoo Tanga sehemu inaitwa Maguzoni mbele kidogo ya Hale. Ulizia kijiji potwe. Kukuhakikishia kwamba hatuna mzaha. Tutakurudisha ulikotoka bila wewe kujua hata iwe Mbeya.
Usije na hela ya malipo. Tutayafuata wenyewe baada ya siku 7.h
Muamini Mungu mkuu. Hakuna nguvu yoyote ya uchawi itakudhuru.Mimi nimeajiri sijajiliwa kama unavofikiri na ukweli ni kuwa hakuna sehemu salama hata makanisani watu wanalogana wapewe vyeo sembuse huku duniani
Huku kanisani wachungaji wanapigana juju ili waumini waamie kwao sadaka ziongezeke....Muamini Mungu mkuu. Hakuna nguvu yoyote ya uchawi itakudhuru.
Mtakufa maskini!Inasikitishana kusoma thread kama hii yaani mtu ana amini ushirikina kiasi hiki
Sent using Jamii Forums mobile app
na mafuta yenu ya binadamu na viungo vya wa mama mnavyotengenezewa dawa na hawahawa waganga, "mnayoita mafuta ya upako" maji ya kuonyeshea maiti " mnayouziwa mpaka laki moja eti maji ya baraka, nalo unaliongelwaje bwana mdogo ake na yesu na wewe,Iman gani za kuuwa watoto na albino hiyo si upuuzi tuu huo wengine wamefunua kaburi huko pugu na kuzini na maiti iliyozikwa eti masharti ya mganga,
Tena kuna wakurugenzi,mainjinia,Wanasiasa
Kwa kwenda kwa waganga tu wako vzr Sema wanaenda kimyakimya![]()
![]()
![]()
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Wahanga wa kwamsisi ni watoto wadogo. Wanaringia utaalam wa kumnyoa mtu nywele bila kinyozi kuonekana. Mambo iko Potwe
Kumbe ulikua unamkagua ila ukagundua ex wako alimvulia boxer mganga amchanje matako dah wanawake mnamapito mengi

Kumbe ulikua unamkagua ila ukagundua mganga alimvulia boxer mganga amchanje matako dah wanawake mnamapito mengi
muhogo,nazi,karanga tende,asali
Duh noma yote kutafuta unafuu wa maishaAcha hawa unaowaona viongoz wachawi hatar ndo maana wanavaa mashat ya mikono mirefu wanawake tunawatunzia siri
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa mada kasema hatak njia nyingne mbadala hv mnasomaga vzur nyuzi nyie aaah mnakeraMawazo ya kijinga hayo, nguvu ya Mungu shetani hawezi izidi mimi sijawahi ogopa uchawi kwa sababu najua ni kitu kidogo sana mbele ya Mungu
NB.ukiwa na hirizi ni rahisi sana kulipuliwa kuliko asiye nayo
The choice is ur's
Mkuu jinyonge basiMtoa mada kasema hatak njia nyingne mbadala hv mnasomaga vzur nyuzi nyie aaah mnakera
Sent using Jamii Forums mobile app