Ulinzi wa Asili: Mtaalamu Anahitajika

Ulinzi wa Asili: Mtaalamu Anahitajika

Wakuu
Kama mjuavyo dunia ni kutafutana mpaka makazini watu wanavizina. In fact kama huko vizuri unaweza sepa anytime. Najua humu kuna wadau walishapita kwa wataalamu (Waganga) kulinda wasidhuliwe na walimwengu.

Mpaka sisi wakulima ukivuna mazao tu jamaa wanaanza kukufanyia surveying.

Sasa wakuu nimechoka na huu uonezi. Kama kuna mtu anamjua mtaalamu wa kuzindika mtu tupeane taarifa. Hata kama ni Malawi mm nitatimba huko mradi tu niwe salama na hawa washenzi.

NB. Nahitaji mganga mtaalamu wa hizi kazi na sio njia mbadala
Karibuni
Watu wengine mnatafuta Kuibiwa kwa nguvu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mawazo ya kijinga hayo, nguvu ya Mungu shetani hawezi izidi mimi sijawahi ogopa uchawi kwa sababu najua ni kitu kidogo sana mbele ya Mungu

NB.ukiwa na hirizi ni rahisi sana kulipuliwa kuliko asiye nayo

The choice is ur's
Kwa nini unataka kuaminisha watu kuwa imani yako kuhusu Mungu ndio sahihi kuliko imani ya mtoa mada???.acha hayo mawazo ya watu ambao hawakwenda shule unachomiamini wewe hakina tofauti na anacho kiamini huyo mtoa mada,zote in imani hazina uhalisia wowote so acha kuhalalisha imani yako kuwa ndio sahihi.
 
Aisee watu wakishapenyezewa sumu ya waganga kuwatoa ni ngumu sana...baadae hawa hawa ndio wakiambiwa masharti yeyote wanayafanya hata kuumiza familia kwa sababu ya lipi nyumba na gari ambavyo vinapatikana tu bila hata kwenda kwa waganga...
 
Kwa nini unataka kuaminisha watu kuwa imani yako kuhusu Mungu ndio sahihi kuliko imani ya mtoa mada???.acha hayo mawazo ya watu ambao hawakwenda shule unachomiamini wewe hakina tofauti na anacho kiamini huyo mtoa mada,zote in imani hazina uhalisia wowote so acha kuhalalisha imani yako kuwa ndio sahihi.
Barikiwa sana mkuu
 
Kwa nini unataka kuaminisha watu kuwa imani yako kuhusu Mungu ndio sahihi kuliko imani ya mtoa mada???.acha hayo mawazo ya watu ambao hawakwenda shule unachomiamini wewe hakina tofauti na anacho kiamini huyo mtoa mada,zote in imani hazina uhalisia wowote so acha kuhalalisha imani yako kuwa ndio sahihi.
Iman gani za kuuwa watoto na albino hiyo si upuuzi tuu huo wengine wamefunua kaburi huko pugu na kuzini na maiti iliyozikwa eti masharti ya mganga,
 
Wakuu
Kama mjuavyo dunia ni kutafutana mpaka makazini watu wanavizina. In fact kama huko vizuri unaweza sepa anytime. Najua humu kuna wadau walishapita kwa wataalamu (Waganga) kulinda wasidhuliwe na walimwengu.

Mpaka sisi wakulima ukivuna mazao tu jamaa wanaanza kukufanyia surveying.

Sasa wakuu nimechoka na huu uonezi. Kama kuna mtu anamjua mtaalamu wa kuzindika mtu tupeane taarifa. Hata kama ni Malawi mm nitatimba huko mradi tu niwe salama na hawa washenzi.

NB. Nahitaji mganga mtaalamu wa hizi kazi na sio njia mbadala
Karibuni
Shida kumbe ipo hapa tena kubwa!

Mikoani kuna watu wa ajabu ajabu sana ...



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo nimethibitisha kuwa dunia ina watu wabaya sana. Usimwone mtu anafanya kitu ukadhani amependa ni wanadamu wanasababisha yote. Hata mchawi kuna siku alikuwa mtu safi ila walimwengu wakamsababishia kuwa mchawi.
Mie nilikuwa mtu mwema sana ila walimwengu wamenifanya kuwa katili siku hizi. Mtoa mada nimekuelewa sana, walimwengu hawana maana ukizubaa wanakuondoa duniani. Jikinge kwa imani yako inavyokutuma dawa ya moto ni moto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo nimethibitisha kuwa dunia ina watu wabaya sana. Usimwone mtu anafanya kitu ukadhani amependa ni wanadamu wanasababisha yote. Hata mchawi kuna siku alikuwa mtu safi ila walimwengu wakamsababishia kuwa mchawi.
Mie nilikuwa mtu mwema sana ila walimwengu wamenifanya kuwa katili siku hizi. Mtoa mada nimekuelewa sana, walimwengu hawana maana ukizubaa wanakuondoa duniani. Jikinge kwa imani yako inavyokutuma dawa ya moto ni moto

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika dawa ya moto ni moto. Usipojitoa kimasomaso watakutoa walimwengu
 
Iman gani za kuuwa watoto na albino hiyo si upuuzi tuu huo wengine wamefunua kaburi huko pugu na kuzini na maiti iliyozikwa eti masharti ya mganga,
Hata ktk imani ya kikiristo na kiisilamu wapo wanaofanya mambo ya ajabu na ya hovyo-lakini hatuwezi kuhahararisha kuwa imani hizi ni za kijinga
 
Hata ktk imani ya kikiristo na kiisilamu wapo wanaofanya mambo ya ajabu na ya hovyo-lakini hatuwezi kuhahararisha kuwa imani hizi ni za kijinga
Hizo imani ni za kijinga Mkuu samahani hakuna neno lingine zaidi ya hilo kazi tuu ya kulipwa mshahara unatafuta waganga ukiwa na Kampuni yako na imesimama si utaua watoto narudia tena ni imani za kijinga tuu hizo hata Mali zitokanazo na hizo Mali watu wenyewe wanakua hawana Uhuru nazo kabisa mtu tajiri anaishi maisha ya kimasikini si bora angekua tuu masikini sasa...
 
Wakuu
Kama mjuavyo dunia ni kutafutana mpaka makazini watu wanavizina. In fact kama huko vizuri unaweza sepa anytime. Najua humu kuna wadau walishapita kwa wataalamu (Waganga) kulinda wasidhuliwe na walimwengu.

Mpaka sisi wakulima ukivuna mazao tu jamaa wanaanza kukufanyia surveying.

Sasa wakuu nimechoka na huu uonezi. Kama kuna mtu anamjua mtaalamu wa kuzindika mtu tupeane taarifa. Hata kama ni Malawi mm nitatimba huko mradi tu niwe salama na hawa washenzi.

NB. Nahitaji mganga mtaalamu wa hizi kazi na sio njia mbadala
Karibuni

Kama unanauli nenda ukerewe nitakupa shemeji yangu akupike ila shariti lake usigegede manzi akiwa kwenye siku zake,ukigegeda tu inabidi ukapigwe dozi nyingine
 
Usipate tabu. Kaka kwanza uko wapi?
Njoo Tanga sehemu inaitwa Maguzoni mbele kidogo ya Hale. Ulizia kijiji potwe. Kukuhakikishia kwamba hatuna mzaha. Tutakurudisha ulikotoka bila wewe kujua hata iwe Mbeya.
Usije na hela ya malipo. Tutayafuata wenyewe baada ya siku 7.h
 
Kwa nini unataka kuaminisha watu kuwa imani yako kuhusu Mungu ndio sahihi kuliko imani ya mtoa mada???.acha hayo mawazo ya watu ambao hawakwenda shule unachomiamini wewe hakina tofauti na anacho kiamini huyo mtoa mada,zote in imani hazina uhalisia wowote so acha kuhalalisha imani yako kuwa ndio sahihi.
Tena kuna wakurugenzi,mainjinia,Wanasiasa
Kwa kwenda kwa waganga tu wako vzr Sema wanaenda kimyakimya

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo imani ni za kijinga Mkuu samahani hakuna neno lingine zaidi ya hilo kazi tuu ya kulipwa mshahara unatafuta waganga ukiwa na Kampuni yako na imesimama si utaua watoto narudia tena ni imani za kijinga tuu hizo hata Mali zitokanazo na hizo Mali watu wenyewe wanakua hawana Uhuru nazo kabisa mtu tajiri anaishi maisha ya kimasikini si bora angekua tuu masikini sasa...
Huyo unaye fikiri hapigi mashuti kumbe ndiyo muendaji mzuri kwa waganga ngoja siku uje umgumie ndiyo utaelewa!
Mwache mtu afanye aonavyo ni Sawa kwake

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom