Ndugu wana JF, ulinzi shirikishi una manufaa mengi kwa jamii hasa kuwalinda wananchi na mali zao na kuwafanya waishi kwa amani. Hata hivyo, ulinzi shirikishi ukitumiwa vibaya utazaa kura shirikishi kwa maana ya kukipendelea chama kinachoongoza serikali.
Katika kunusanusa kwangu nimekutana na mtu ambaye anasema: Ikitokea ulinzi shirikishi ukatumika vibaya utaleta kura shirikishi. Nimependa kutumia phrase hii kwa vile nimeona a;iyesema ametumia ubunifu. Na mtu huyo alisema kwa vile structures za ulinzi kutoka juu hadi chini zina mfumo kama ilivyo hapa chini, basi ni wazi kwamba ukitumiwa vibaya utanufaisha chama kinachoongoza serikali wakati wa uchaguzi.
Sababu alizozitoa huyo jamaa ni kama ifuatavyo hapa chini. Nimejaribu kuchukua maneno yake verbatim na kwa hiyo sikuweza kuelewa kirefu cha kila acronym. Hivyo nimeamua kuzitumia acronyms zake kama nilivyosikia. Kama wachangiaji wengine wanaweza kumchallenge au kueleza kwa namna nzuri zaidi ni kitu chema. Nanaelewa kirefu cha acronyms chache! Anyway, mtu huyo alidokeza kama ifuatavyo:
Kama kuna mtu mwenye maelezo tofauti na haya, please, atueleweshe maana kufanya hivyo ndiko kujifunza! Swali, je maelezo yake ni sahihi au hapana?
Katika kunusanusa kwangu nimekutana na mtu ambaye anasema: Ikitokea ulinzi shirikishi ukatumika vibaya utaleta kura shirikishi. Nimependa kutumia phrase hii kwa vile nimeona a;iyesema ametumia ubunifu. Na mtu huyo alisema kwa vile structures za ulinzi kutoka juu hadi chini zina mfumo kama ilivyo hapa chini, basi ni wazi kwamba ukitumiwa vibaya utanufaisha chama kinachoongoza serikali wakati wa uchaguzi.
Sababu alizozitoa huyo jamaa ni kama ifuatavyo hapa chini. Nimejaribu kuchukua maneno yake verbatim na kwa hiyo sikuweza kuelewa kirefu cha kila acronym. Hivyo nimeamua kuzitumia acronyms zake kama nilivyosikia. Kama wachangiaji wengine wanaweza kumchallenge au kueleza kwa namna nzuri zaidi ni kitu chema. Nanaelewa kirefu cha acronyms chache! Anyway, mtu huyo alidokeza kama ifuatavyo:
- Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama kitaifa: President.
- IGP
- CDF
- CNS
- PM
- Rais wa Zanzibar
- Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi ya Mkoa: RC
- RPC
- RPO
- RSO
- Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi ya Wilaya: DC
- OCD
- DPO
- DSO
- Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Kata: Mlinzi wa Amani wa Kata
Kama kuna mtu mwenye maelezo tofauti na haya, please, atueleweshe maana kufanya hivyo ndiko kujifunza! Swali, je maelezo yake ni sahihi au hapana?