Ulimwengu wa macho ni mwepesi sana

Ulimwengu wa macho ni mwepesi sana

badoo sielewi kitu,mafumbo mengi
Dunia inaendeshwa na ulimwengu wa roho... Ninaposema dunia namaanisha kila kilichomo ndani yake kinachoonekana kwa macho... Kiingereza wanaita solid state
. kwenye Biology unapoongelea reproduction utaeleza mchakato mzima toka kukutana kingono mpaka yai kurutubishwa na hatimaye mimba kutungwa na mwishowe mtoto kuzaliwa... Lakini kamwe hutaweza kueleza kwa hakika kuhusu pumzi ya uhai
.Kwenye engineering na mambo yote ya mechanical utaeleza kwa ufasaha sana kuhusu mashine mwanzo mwisho ila hutoweza kueleza kuhusu ile nishati inayofanya mashine ipate uhai...
Kwenye hii tech ya mawasiliano utaeleza kila kitu lakini hutaweza kueleza kwa hakika ninini kinafanyika mpaka tukiwa na simu zetu hatuhamiani tunaandika na maandiko haya yanasomeka... Hii ni mifano michache kuhusu ugumu wa ulimwengu wa roho
 
Ahsante Mshana humu JF umebaki wewe tu ambae unaandika mambo ya kufikirika na kuumiza kichwa wengine wote tunaandika vitu vya kawaida
 
Tatizo baadhi ya watu wamezoea kusoma jujuu tu Bila kutafakari kiundani, We shusha hiyo mada tu wale watakaoelewa wataelewa na kinyume chake vile vile!
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
KAKA KHERI YA PASAKA.
AKUELEWAGA SANA NIKISOMA MADA ZAKO, ILA LEO UMENIPA CHEO CHA MKUU WA MKOA PENDWA.
USISAHAU KUNITAG KWENYE NADA TARAJIWA, PIA UKUMBUKE PESA ZETU TSHS 26,042,018 PEKEE.
JIWE linaelekea kubomoa milango ya Benki lisepe na hela yote. Ikiwezekana kukodisha hata wale "wanyamulenge" wa M7.
 
JIWE linaelekea kubomoa milango ya Benki lisepe na hela yote. Ikiwezekana kukodisha hata wale "wanyamulenge" wa M7.
KWAHIYO NDIO MAANA LIMELIPIA PIPE-DEAR HARAKA?.
SASA TUZIDISHE KELELE LITOROKE MAPEMA.
 
Back
Top Bottom