Natumia Continental decoder baada ya satellite ya amos 5 kupotea nimeshindwa kuona chochote, nauliza je naweza kuangalia tv za nyumbani kupitia satellite nyingine? Shida yangu tu ni taarifa ya habari ya saa 2 usiku na bbc dira ya dunia saa 3 usiku.
NB: Hiki king'amzi kwenye listi ya satellite zipo nyingi zaidi ya kumi zimeorodhesha pale. Naombeni msaada wenu tafadhali.
Natumia Continental decoder baada ya satellite ya amos 5 kupotea nimeshindwa kuona chochote, nauliza je naweza kuangalia tv za nyumbani kupitia satellite nyingine? Shida yangu tu ni taarifa ya habari ya saa 2 usiku na bbc dira ya dunia saa 3 usiku.
NB: Hiki king'amzi kwenye listi ya satellite zipo nyingi zaidi ya kumi zimeorodhesha pale. Naombeni msaada wenu tafadhali.
Kwa ku sidhani labda c band, channel 10 walikuwepo 70.4e fta lakini sasa hivi inaonesha black screen tu
Tafuta decoder ya mpg4 inafungua, ok hakusema aina ya dish but hizo ni c band
Channel 10 ipo kwa ku 105dg east kuna kama chennel 10 hapo ikiwemo utv, etc
wewe ni muongo, io sio nyuzi 105, ni eutelsat70 iko nyuzi 70e
Wanaotaka epl na wenye MPEG 4 receiver wanicheki 0712038088 na kama upo Dar basi jmos nakuwa free tunaweza fanya kazi
habari za siku nyingi
Kwanini Chanel za IPP media hapa kwangu zinapatikana mchana tu?
Ni add whatsap please
0629 0777 02