Mimi nimefanikiwa kuipata Amos 5 na Eutelsat 7e.Sasa kazi ni kuipata Astra 2f.Nimeangaika vya kutosha.Niko mbeya na ninatumia dish futi 6 pamoja na Ku ya kawaid.Ebu wakuu nipe mbinu
Za Kenya hazipo 57.0 tumia freq hii 11058 V 29995. Kama ulisha ipata intele 7/10@ 68.5°e kwa freq 12722 H 26655 Emmanuel tv nyuma ya chanel za Tanzania.
Za Kenya hazipo 57.0 tumia freq hii 11058 V 29995. Kama ulisha ipata intele 7/10@ 68.5°e kwa freq 12722 H 26655 Emmanuel tv nyuma ya chanel za Tanzania.