Uzi wangu naufikisha kwenu kwa wenye maujuzi tukwamuane mana blind search zote azishikiki.. Jinsi ya kutafuta badr 26 E au nilesat 7w.. Je nikiwa dar nitumie saiz gan ya dish
Wakuu leo nimefunga dish kwa kutumia receiver ya gsky v7 na nimefanya kila kitu kama inavyotakiwa ikiwa ni pamoja na kuupgrade software ila channels zote zipo scrambled!!....Tatizo linaweza kuwa nini/wapi?
Kuna channel ya Tanzania ya Dira TV iko satellite ya Africasat 1a @46E (4120V2270 DVB-S2 QPSK).Yaani hii channel ni nzuri sana kwa muziki na nyimbo za dini lakini mbona haipatikani kwenye king'amuzi chochote.
Kuna channel ya Tanzania ya Dira TV iko satellite ya Africasat 1a @46E (4120V2270 DVB-S2 QPSK).Yaani hii channel ni nzuri sana kwa muziki na nyimbo za dini lakini mbona haipatikani kwenye king'amuzi chochote.
Wakuu leo nimefunga dish kwa kutumia receiver ya gsky v7 na nimefanya kila kitu kama inavyotakiwa ikiwa ni pamoja na kuupgrade software ila channels zote zipo scrambled!!....Tatizo linaweza kuwa nini/wapi?
Uzi wangu naufikisha kwenu kwa wenye maujuzi tukwamuane mana blind search zote azishikiki.. Jinsi ya kutafuta badr 26 E au nilesat 7w.. Je nikiwa dar nitumie saiz gan ya dish
Natumia mwanza cable ambayo malipo yake ni 10,000 kwa mwezi. Situmii king'amuzi mr. Pia hawa jamaa wana radio yao ni shida. Inapiga muziki 24/7 efm akalale. Hata EAST haoni ndani
Natumia mwanza cable ambayo malipo yake ni 10,000 kwa mwezi. Situmii king'amuzi mr. Pia hawa jamaa wana radio yao ni shida. Inapiga muziki 24/7 efm akalale. Hata EAST haoni ndani