Ulimwengu wa 3D na 4D

Unanichekesha sana kijana.
yaani umeanza meditation kupitia JF?
kweli Dunia imejaa vituko
Ndio.
Nini chaajabu hapa kwani? Meditation nimeijulia jamiiforum na baada ya kufuatilia ndio nikajua zaidi kuihusu
 
Its only in Jamiiforums where any tom,dick and harry can be an expert of something they read or heard from somebody. And worst enough any person can take anything from here and believe.

Yaani kuna watu wao huwa wapo standby kuja kuchukua kila kinachoandikwa humu... Hawataki kabisa kufikiria. Na hili ni kundi kubwa sana ambalo utaliona kila siku linasema "nashukuru nmejifunza kitu, ukiandika tena nitag" unajifunza kila kitu kwa kila mtu we umekuwa funza?

Ni wakati wa kuanza kutumia akili yako ndugu msomaji. Mambo mengine ni ya kufikirika tu mtu anafikiri anakuja kubandika humu.
 
ni kweli kabisa
Jukwaa siku hizi limeharibika, hakuna cha kujifunza ila ni ubishi tu
mtu kapata smartphone kajiunga JF basi atataka anachookota huko barabarani akilete humu na asipingwe atabishaa mpaka saver ijae.
hata kuchangia au kuelimishana elimu tulizozipata tunashindwa maan hujui unayewboshana naye ni kichaa au gwiji aliyebobea
sasa 4D na YOGA au NDOTO na Medidation ni wapi na wapi
 
Inatofauti gani na meditation?
Haina tofauti ila mimi ninachoamini ni kwamba kumfundisha mtu kwa lugha asiyoielewa ni sawa na kuwandaa asielewe somo. Meditation ni English.
 
Cc Moderator

Naona jamaa akichezea ban kama ni kweli.
Ukienda sehemu ukaandaliwa chakula kizuri ukala ukashiba; ukifika nyumbani uka-apply hayo mapishi sio kwamba umebeba chakula toka huko ulikoenda. Ikumbukwe kuwa hakuna jambo jipya chini ya jua. NImetoa kama ushuuda baada ya kufundishwa na member mmoja hapa JF
 
Cc Moderator

Naona jamaa akichezea ban kama ni kweli.
Ukienda sehemu ukaandaliwa chakula kizuri ukala ukashiba; ukifika nyumbani uka-apply hayo mapishi sio kwamba umebeba chakula toka huko ulikoenda. Ikumbukwe kuwa hakuna jambo jipya chini ya jua. NImetoa kama ushuuda baada ya kufundishwa na member mmoja hapa JF
 
Huyo MEYIIIIIIIII ndo nani, isije ukawa unaita jini maimuna
 
Ahsante kwa ushauri, naendelea kujifunza mkuu ila ushuhuda kwa niliyoyaona ndo huuuuu
 
Tatizo woga!
Hapa mimi siendi kwa waganga wa kienyeji wala sifanyii kwa mtu; nafanya nyumbani kwangu sasa huyo mganga katika wapi?
 
Nini maana ya haya maneno MEYIIIIIIIIIIII, MEYIIIIIIIIIIIII ??? Na kwanini ni lazima useme haya maneno wakati ukifanya hayo mazoezi ya kufungua hilo jicho la tatu????

Unaweza ukawa unayaita "mapepo" bila kujua, shauri yako.
Jaribu kwanza ..
Unajua nashangaa kwa nini usijiulize kwa nini A inaitwa hivyo na wala sio Z
 
Nimepitia post zenu wote nawashukuruni kwa kusoma ila kuna mambo ya kujiuliza ...
1. Watoto wadogo wana uwezo wa kuona yale ambayo watu wazima hawaoni .. kwa nini?
2. Wanyama / ndege wana uwezo wa kuona vitu ambavyo binadamu hawezi kuona ... kwa nini?
3. Kila ikifika saa saba usiku ni kwa nini mbwa wote huwa wanalia? (sio kubweka)
Mambo ya kiimani ni kama number line ... kuelekea kushoto mwa 0 ni hasi (shetani) .. kuelekea kulia mwa 0 ni chanya (Mungu). Kutokujiuliza maswali ndo sababu kubwa ya kutoweza kutumia akili ulizopewa walau kwa asilimia hata 50.
 
Kwani ukifungua hilo jicho la tatu inakusadia vipi kulikomboa taifa lako maskini kama Tanzania....duh eti Meiiii Meiiiii(hata husemi ina mana gani)
Fanya vitu kwa logic
 
Unanichekesha sana kijana.
yaani umeanza meditation kupitia JF?
kweli Dunia imejaa vituko
Usicheke; kila kitu kina mwanzo wake. JF ni mahala pa kuchokozea
 
Hapa kuna kenge bado watabisha...jitu linakariri Google na elimu yake ya darasani...maza fanta
 
Hapa kuna kenge bado watabisha...jitu linakariri Google na elimu yake ya darasani...maza fanta
Mtu aliyezaliwa na ulemavu wa pua (hahisi harufu) hawezi kuamini kama unaweza kujua kuwa jirani ameandaa chakula fulani kwa kuhisi harufu ya chakula hicho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…