Ulimwengu: Magufuli toa hoja acha kukariri kilomita

Magufuli ameshauriwa aache tabia ya kukariri kilomita za barabara na kupiga kelele majukwaani, badala yake atoe hoja na kusimamia ujenzi wa barabara zenye viwango na siyo kama ilivyo ile ya Mlandizi - Chalinze iliyojaa manundu!

Magufuli upooo!

Huyu Mzee ni anather Joker!! Takwimu zote anazotoa Huwa ni Magumashi!! Just to win Majority with wrong information. Fikiria anawaaminisha Watanzania Dar Es salaam ina Magari zaidi ya 1,000,000. Huu ni uwongo na upuuzi uliopindukia!! Kwa nini asiende Hata Uko TRA kupata taarifa sahihi kama anaona kuna haja ya kutoa hizo Takwimu? Traffic Counts zote za barabara kubwa za Dar in 24 hrs traffic counts zinaonyesha barabara zote Kubwa zina Capacity ya Magari 14,000 tu!! Barabara zenyewe ni Morogoro, Nyerere Kilwa na Bagamoyo!! Kwa Hilo Inaonyesha Dhairi Dar es Salaam Haina Magari Zaidi ya Laki Tatu!! 300,000!! Na kama kungekuwepo na hayo magari 1,000,000 ina maana kila watu 40 mmoja ana gari Kitu ambacho sio Kweli kwani Population Kubwa ya nchi ni wanafunzi na wakulima!! Shame on You Mropo......
 
Barabara mpya kabisa huko Hanang
(mlima Hanang in the background)

Tatizo la wana JF Chadema ni kuishia kusafiri mwisho maeneo ya disco tu, hasa Bilicanas.
Tembea nchi hii na muone the scenario unfolding.
Wakati ninyi mnapiga domo wana CCM wako kazini.

Hiyo picha ni karibu na kwao Dr Slaa, sehemu ambayo miaka 10 tu iliyopita ilikuwa haifikiki kwa gari kwa siku moja, na ukifika si mavumbi mpaka utosini
Thanks kwa serikali ya CCM na Mzee wa "teksi" Dr John Pombe Magufuli

Kuanzia Mwanza hadi Dar barabara zinazosemwa hazijamaliza miaka mitano/kumi zote hivi sasa ni mashimo Nenda Kahama pia kumejaa mapipa njia yote wanapika Lami kuziba viraka, Pale mlimani Sekenke kuna mahandaki ambayo mtu anaweza kujificha gari ikapita juu, Dodoma mpaka Morogoro wabunge wote ni mashahidi kuona jinsi ubora hafifu wa barabara hiyo ulivyo, viwango vyao ni hafifu kwani wamekula na makandarasi wao sie wanatuletea lami za karatasi
 
Mngesoma hoja za ulimwengu kwanza....
Hoja ya Jenerali ni kwamba kazi ys waziri sio kukariri kilomita...hiyo ni kazi ya watu wadogo wizarani, waziri anapaswa kutumia vema ubongo wake.
 
Mngesoma hoja za ulimwengu kwanza....
Hoja ya Jenerali ni kwamba kazi ys waziri sio kukariri kilomita...hiyo ni kazi ya watu wadogo wizarani, waziri anapaswa kutumia vema ubongo wake.

Kwa hoja hii umemuumiza zaidi Magufuli, yaani ana under-utilize kazi za ubongo wake! Ni kama yule first class economist aliyekariri maendeleo kwa vigezo mfu vya kuchangia madawati hamsini jimboni kwake.
 
Mngesoma hoja za ulimwengu kwanza....
Hoja ya Jenerali ni kwamba kazi ys waziri sio kukariri kilomita...hiyo ni kazi ya watu wadogo wizarani, waziri anapaswa kutumia vema ubongo wake.
Mawaziri wote wanapaswa kuzisimamia wizara zao ili fedha zilizotengwa kwa ajili ya maendeleo zitoe tija iliyokusudiwa na siyo kujadili vitu ambavyo wananchi wenyewe wanaweza kuviona!
 
View attachment 57105
Barabara mpya kabisa huko Hanang
(mlima Hanang in the background)

Tatizo la wana JF Chadema ni kuishia kusafiri mwisho maeneo ya disco tu, hasa Bilicanas.
Tembea nchi hii na muone the scenario unfolding.
Wakati ninyi mnapiga domo wana CCM wako kazini.

Hiyo picha ni karibu na kwao Dr Slaa, sehemu ambayo miaka 10 tu iliyopita ilikuwa haifikiki kwa gari kwa siku moja, na ukifika si mavumbi mpaka utosini
Thanks kwa serikali ya CCM na Mzee wa "teksi" Dr John Pombe Magufuli

Acha kutuita wapiga domo,ni jukumu la kila Mtanzania kuihoji Serikali kupitia viongozi walio madarakani ni vipi au ni namna gani kodi yao inatumika sababu kile tunachokichanga(kodi)kinatakiwa kurudi kwa wananchi ktk kutekeleza miradi mbali mbali afya/elimu/miundombinu na mengine ya kufanana na hayo.Hii barabara unayoisifia hapa siku sio nyingi utasikia imekuwa na mashimo ya kutosha.
 
Acha kutuita wapiga domo,ni jukumu la kila Mtanzania kuihoji Serikali kupitia viongozi walio madarakani ni vipi au ni namna gani kodi yao inatumika sababu kile tunachokichanga(kodi)kinatakiwa kurudi kwa wananchi ktk kutekeleza miradi mbali mbali afya/elimu/miundombinu na mengine ya kufanana na hayo.Hii barabara unayoisifia hapa siku sio nyingi utasikia imekuwa na mashimo ya kutosha.

Mkuu wewe una upofu wa kuona hata kama una macho.
And seeing is believing.

Wanaume wanathubutu, watafanya makosa na wataendelea kuboresha makosa waliyotokea kutokana na uthubutu.

Kada nyingine ni kukaa vijiweni na kulalama mpaka mbingu zifunguke. Mnalalama hata kama mtaambiwa mtapewa maziwa ya bure kwa afya zenu, siwalaumu , mmeumbwa hivyo.
Watu kama ninyi nafikiri inawezekana huna usafiri wa kwako.Na kama unao, basi tenki la mafuta daima dumu mshale uko juu kidogo mwa "E"-yaani empty.Kutoka nje ya Ubungo huwa ni shughuli pevu.

Mimi shughuli zangu zinanifanya nisafiri sana mikoani, na si leo tu bali kwa miaka mingi.Mashimo unayoyaongeelea yalikuwepo miaka 25-30 iliyopita. So I might as well know what I am talking about as apart from you.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom